Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Leo nimeona moja limeandikwa......"Silaha ni pesa, kisu kizito"
 
ni isaka na moto dunia yafire.. hii alikuwa anaipenda mbunge wa Kondoa Juma Nkamia wakati akitangaza mpira redioni ikimaanisha kuwa pori laungua na dunia imeungua.... hii ni kwa lugha ya warangi
 
Ni wenge lake tu!
Mkate wenge!
Ndessa pesa(hapa wanampa shavu ndesamburo.
 
Back
Top Bottom