Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Misemo inayoandikwa kwenye vyombo vya usafiri, we acha tu!

Kudua na Kughosha Chedi nini!!
Nyika Na Vome.

(MwlNyerere-Buguruni via Kawawa road.)
 
1. Barabara ina matuta japo hayaoteshi mchicha.
2. Hata mzungu ana kivuli cheusi.
3. Baba Ako analo?
4. Kamjingijingi.
5. Bora nchi iuzwe Maskini tuneemeke.
6. Usivamie Pori kwa Wembe.
7. Nenda kaseme.
8. Ukiliona,Timua.
9. Mbuzi kala mkeka,wapambe mtakalia nini?
10. Ikiuma,chomoa.
 
Mkuu mbona mara ya pili hii naona una'comment abracadabra ? Kama sio Viazi .
Huyu mdau kahitaji maneno yaandikwayo kwenye magari! Wewe wasema Sredi hii ilishakuja!
Kwani aliiteta huyu ?
Hata kama ! Nevertheless
Unashindwa kujiongeza kama kl siku magari mapya yanaongezeka ?
Wewe unajua gari nitakalo nunua mimi next wiki nitaliandika nini ?
Punguza viazi ! Huko ni kudandia kwenye bonet !
Just use you're two eyes for your self navigation .

asante kaka.
 
Ikiwaka Mulika,ikizima papasa,Sura sio roho,Usicheze kazi chezea mshahara!
 
duuh madame neno kaka limenikaa vidoleni sana kila mara linanitoka.

Dah!
Poa,hamna noma wala nini,
we niite vyovyote tu Pindima
Ila hapo kwenye blue ni kweli limekaa vidoleni au akilini.
:focus: Hata mbuyu ulianza kama mchicha.
 
Last edited by a moderator:
duuh madame neno kaka limenikaa vidolen sana kila mara linanitoka.

Mie umepatia ni kaka either it will be as a father !
But Madame she's a wife of someone who very popular around this Chtcht's pitch .
 
kichuli ni kitamu ingawa ni samadi....
Wazee hii nimeikama musoma....nadhani wenyeji wataeleza maana yake
 
Back
Top Bottom