Misemo kutokana na Vichwa vya Treni

Misemo kutokana na Vichwa vya Treni

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Teh teh hiyo Punyeto unafikiria nimeweka kimakosa? Aliye tolewa bastola si ndie alisema ikulu tutaenda hata kwa bao la mkono? Sasa bao la mkono ni lipi kama sio Punyeto?
 
Hapo mwanzo kulikuwako na mfalmeJPM, nae JPM alikuwa na mwana jina lake bashite. Kukatokea nabii mmoja jina lake gwajima akamtenda visivyo stahili mwana wa mfalme.Naye mfalme akaonyesha hasira yake kwa kuvitwaa vichwa vya treni vya nabii na kuwagawia maskini. Gwajima 1:1-5

Jamani mbavu zangu [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
basi waumini baada ya kusikia maneno matakatifu tunaomba tusimame tupate pambio.
{waumini wanasimama}:
{kinanda kinaanza}:

baada ya kupata pambio hilo fupi basi naomba wasemaji wanaofuata kwa ajili ya maneno matakatifu waendelee..
 
Ndipo makada wakajipiga vifua na kugalagala kwenye mavumbi kama chatu huku wakisema, "ewe Sizonje tuchukue utumwani milele"
Lumumba 4 : 5-13
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] daaaah
 
Nao wakasemezana tumfanye Mfalme huyu atutawale milele maana kupitia yeye tumepata kibali mbele ya macho ya muumba. Makinikia 21:3-4
Daaaaaaaaaaaaaa nimecheka kweliii ukikumbambana na mistari hii asubuhi unasahau kabsa kama hali ni ngumu
 
Agano la kale,agano jipya na agano la TANU limekuja kwa kasi watu wanalitafasiri vzr
 
22. Ndipo yule nabii asiyekybalika kwao Tundu Lissu akawaambia wadanganyika Sikh mbili baada ya ile report ya makanikia, ndg zangu wadanganyika report hii ni professional ribbish.
23. Wana wa Lumumba waliposikia hayo wakajawa na hasira nyingi na kusema hakika huyu ameongwa na acacia.Iweje apingane na kayafa mfalme mkuu.
24. Hata wakati bunge lilipokuwa likiendelea yule nabii TL akasema nasema ukweli Mungu ananiona na nyie mnanisikia hata hizo report sidhani zitakuja kuletwa bungeni.
25. Wale wafuasi ya Kayafa wakiongozwa na Mzee wa bakora wakajawa na ghadhabu tena juu na nabii wa bwana. Wakasema huyu ni muongo na kahongwa na acacia. Lakini moja wa wafuasi wa Kayafa (tibaijuka) akasema hakika tusimbeze huyu nabii maana maneno yake kama yametoka kwa bwana.
26. Na siku ilipifika ya kujadili misuada ya sheria ile ya kurekebisha mikataba, kijana moja mfuasi wa nabii yule akauliza ,je tusubiri mpaka lini ile report?. Ndipo yule akida (kabudi) akasema ,hakika ile report haikuwa ya kwenu bali ya Kayafa mfalme mkuu.
27. Ndipo mafarisayo, masadukayo na waandishi wakasema hakika Kayafa mfalme mkuu ametukuka sana. Wakazidi kusema nasasa tusibiri tu noah zetu. Wangine wakasikika wakisema ni lazima tukaanze kujifunza kuendesha magari pale city driving college.
(Makaniki 5: 22-27)
 
Nalikuwa katika mji wa Bandari Salama nikiomba,roho yangu ikazimia,nikaona maono;vyombo vinashuka kutoka mbinguni,nikitazama kwa makini,vilikuwa ni vichwa vya treni.[Waraka wa Pili wa Bashite kwa Wanakolomije 11:7-10]
Hahahahahaha
 
MAKADA wakamwambia MFALME,inua sasa macho yako,ukatazame kutoka hapa ulipo,upande wa kaskazini,na wa kusini na wa magharibi na wa mashariki.
maana nchi hii yote uionayo,tumekupa wewe na wasaidizi wako uitawale milele[Waraka wa Mlinga kwa wanaulanga 2:4-7]
 
Hivi Mkuu wa Kaya huwa anapitiaga huku kujisomea vimbwanga kama hivi?
 
Sauti ikatoka mjini ikisema "sikilizeni enyi watu, hakuna mwana atakaezaa na kurudi mafunzoni,na pilato yeyote atakaedanganyika kumpa mafunzo yeyote aliyekwisha kuzaa hakika ataondoshwa katika ardhi hii akafie nyikani" nao wakastaabika sana, wakaanza kuulizana wao kwa wao Je? huyo si yule tulioambiwa ametabiriwa katika kitabu, ya kwamba atakuja kutetea wanyonge na wenye haki katika nchi hii? hapakupatikana mtu wa kumpinga mtawala yule na kila aliyejaribu kumpginga alitupwa katika gereza lenye Giza la kutisha, ndipo hofu ikatanda mji mzima...Wabantu 4:12-20
 
Enyi mafarisayo mliyofirisika kifikra iweje mkanunua vichwa vya treni vinavyopiga reverse?
 
Back
Top Bottom