Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Sasa muda wote wapo kazini ulitaka wategemee nini ?Yaani nyie watumishi njaa huwa nashindwa kabisa kuwaelewa, hamnabuvumilivu kabisaaa ndio matatizo ya kuishi kwa kutegemea mshahara hayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa muda wote wapo kazini ulitaka wategemee nini ?Yaani nyie watumishi njaa huwa nashindwa kabisa kuwaelewa, hamnabuvumilivu kabisaaa ndio matatizo ya kuishi kwa kutegemea mshahara hayo
Sasa unataka mfanyakazi aishi kwa kutegemea nini?Yaani nyie watumishi njaa huwa nashindwa kabisa kuwaelewa, hamnabuvumilivu kabisaaa ndio matatizo ya kuishi kwa kutegemea mshahara hayo
Wajitume kufanya kazi zingineSasa unataka mfanyakazi aishi kwa kutegemea nini?
Na hiyo ya serikali wamuachie Nani?Wajitume kufanya kazi zingine
Msubiri tar 28 -30Na hiyo ya serikali wamuachie Nani?
Warumishi wa, umma,nchi nzima, kuanzia, Rais mpaka mwenyekiti wa kijiji, VEO,hawafiki milioni 7! Nchi, inawatu milioni 65!
Their problem is minor issue,
Kuna watu maisha magumu tangu wanazaliwa, hao watumishi wa umma, ni kwa muda tu,
Ila wengine ni mazwazwa! Mnakopesheka kwa, asilimia ndogo, 8%, kwanini hamkopi mkawekeza? Mnakopa mnanunua, vitz, is
Mi mbona napokea crdb? Sidhani kama ni lazima iwe NMBKwanini mishahara na pensheni ilazimishwe kulipwa kupitia NMB? Si waachiwe wenyewe wajichagulie benki. Halafu mnasema eti tuna soko huria!! Eti NMB ni namba wani !!! Hii ni monopoly
Bado mama ana ziara!! Vumilieni ule Mkopo wa Korea haujaiva!! Ukiiva tu mishahara inaingiaKuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.
Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
Benki unachagua mwenyewe sio lazima NMB ila tu Kwa kuwa NMB IPO maeneo mengi vijijini watumishi wengi wanapendelea huko ila sio lazima huko.Kwanini mishahara na pensheni ilazimishwe kulipwa kupitia NMB? Si waachiwe wenyewe wajichagulie benki. Halafu mnasema eti tuna soko huria!! Eti NMB ni namba wani !!! Hii ni monopoly
Kazi ni kipimo cha utuKuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.
Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
Hawazidi milioni 2.5Warumishi wa, umma,nchi nzima, kuanzia, Rais mpaka mwenyekiti wa kijiji, VEO,hawafiki milioni 7! Nchi, inawatu milioni 65!
Their problem is minor issue,
Kuna watu maisha magumu tangu wanazaliwa, hao watumishi wa umma, ni kwa muda tu,
Ila wengine ni mazwazwa! Mnakopesheka kwa, asilimia ndogo, 8%, kwanini hamkopi mkawekeza? Mnakopa mnanunua, vitz, ist!
Huna vigezoNingekuwa mimi ndo hao watumishi wa umma, ningeashaandika barua ya kuacha kazi kitambo sana 😬😬
Nani kakulazimisha mkuu? ni hiari yako tu.Kwanini mishahara na pensheni ilazimishwe kulipwa kupitia NMB? Si waachiwe wenyewe wajichagulie benki. Halafu mnasema eti tuna soko huria!! Eti NMB ni namba wani !!! Hii ni monopoly
Hata wazabuni wengi hawajalipwaKuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.
Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.