Mishahara imechelewa kutoka June 2024, watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

Mishahara imechelewa kutoka June 2024, watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

Status
Not open for further replies.
Tujifunge mikanda..Hali ya uchumi duniani kote si nzuri..

Prof Mwigulu na Prof Mkumbo..Pambaneni kujenga uchumi imara ili nchi iweze kujitegemea toka ktk makucha ya wafadhiri na wakopeshaji..

Tupunguze matumizi yasio ya lazima..Tupunguze mishahara ya wanasiasa..Tupunguze taasisi zenye majukumu yanayoshabihiana mfano (TIC,TANRADE,BRELA,EPZA,TIRDO,SIDO,etc)..

Mh Mtukufu Rais apunguze ukubwa wa Baraza la Mawaziri mfano tuwe na

1:Wizara ya Fedha,Mipango,Uwekezaji na Maendeleo ya Uchumi

2:Wizara ya Usalama,Ulinzi na Mambo ya Ndani

3:Wizara ya Miundombinu,Uchukuzi,na Usafirishaji (Maji,Barabara,Umeme,Bandari,Airport)

4:Wizara ya Natural Resources (Madini,Oil and Gas,Misitu,Vivutio vya Utalii,Etc)

5:Wizara ya Haki,Katiba,Sheria,Utawala Bora,Maadili na Uadirifu

Wizara ya Elimu Bora,Sayansi Za Lisasi,Ubunifu,Ufahamu na Ufundi Stadi

Etc
 
Warumishi wa, umma,nchi nzima, kuanzia, Rais mpaka mwenyekiti wa kijiji, VEO,hawafiki milioni 7! Nchi, inawatu milioni 65!
Their problem is minor issue,
Kuna watu maisha magumu tangu wanazaliwa, hao watumishi wa umma, ni kwa muda tu,
Ila wengine ni mazwazwa! Mnakopesheka kwa, asilimia ndogo, 8%, kwanini hamkopi mkawekeza? Mnakopa mnanunua, vitz, ist!
Niliwahi kusoma mahali nadhani ni NBS zamani sana wakisema watumishi wa umma ni 8 percent ya working population na kila mwaka wanaongezwa 2 percent. Sidhani wanafika 7m, hao ni wengi mno!!
 
Poleni sana wananchi, Serikali inaweka mazingira rafiki kuepusha hali hii isijirudie tena tunaomba uvumilivu wenu ili tupate nasi nguvu ya kutenda maono ya Mhe Rais na 4R na kuhakikisha mshahara mwisho wa mwezi huu uwafikie wote kwa pamoja.. CCM oyee wafanyakazi Oyee
 
Taarifa kutoka TUCTA

Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30. Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema hayo leo wakati akipongeza kuongezeka kwa asilimia ya Kikokotoo kutoka asilimia 33 mpaka 40.
Ya kweli haya? Kama ni kweli, kwanini hawakutoa taarifa mapema? Nitakuwa wa mwisho kuamini hii habari unless utupe chanzo tukajiridhishe.
 
Mtoa comment hapo ana type akiwa kwenye sofa ya shemeji yake akiwa ana subiri ugali dagaa na kachumbali iliyo chakachuliwa .
Nikitoka hapo naenda kulala sebuleni 😂
 
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
Kesho itatoka na kumbuka ni mishahara Mipya kama ya Wabunge
 
Warumishi wa, umma,nchi nzima, kuanzia, Rais mpaka mwenyekiti wa kijiji, VEO,hawafiki milioni 7! Nchi, inawatu milioni 65!
Their problem is minor issue,
Kuna watu maisha magumu tangu wanazaliwa, hao watumishi wa umma, ni kwa muda tu,
Ila wengine ni mazwazwa! Mnakopesheka kwa, asilimia ndogo, 8%, kwanini hamkopi mkawekeza? Mnakopa mnanunua, vitz, ist!
daaaah! 😀😀😀😀😀😀😀
 
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
80% ya watanzania hawajui kama hua kuna mwisho wa mwezi, jpm hakutaka ku deal na wafanyakazi ili walau hii 80% itengenezewe mifumo nao waweze kuonja cake ya taifa ktk namna tofaut na watu walivozoea, mwisho wa siku ni kilio tu

Wanafunzi hawapat boom kwa mda tena wanasemwa wanatumia boom kufanya anasa nk..., mishahara kuchelewa yaweza kua king'ora kuonyesha hatari mbele yenu watz
 
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
Shauri yenu. Msipojitetea hamna mtu wa kuwapambania.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom