Lupweko
JF-Expert Member
- Mar 26, 2009
- 23,566
- 24,891
Sasa haipo kabisa, utaridhika nanini? Kumbuka hajasema kuwa mishahara ni midogoRidhikeni na Mishahara yenu, Asema Bwana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa haipo kabisa, utaridhika nanini? Kumbuka hajasema kuwa mishahara ni midogoRidhikeni na Mishahara yenu, Asema Bwana.
Waombe radhi wadada watumishi wa umma. Hiyo sio level yao ya kupata kipatoRC Chalamila, Zoezi la kuwasaka madada poa, angalia watumishi wa Umma hawajalipwa,unatarajia nini kuhusu ongezeko la dada poa?
Hilo zoezi la kurekebisha walikuwa hawalijui miezi yote iliyopita mpaka wasumbue watu tarehe za mwishoWanerekebisha mishahara kwa watumishi,walimu Kuna mserereko wa Madaraja unaandaliwa,vuta subira mzigo unakuja wakutosha!
Mbona wanajeshi wamelipwa tangu Jumamosi?Leo tarehe 24, Jana ni jumapili ambayo ni tarehe 23 halafu unasema mshahara umechelewa? Tofauti ya siku Moja au mbili unasema mshahara unachelewa? Hii nchi kuiongoza ni kazi ngumu sana
Na wafanyabiashara je, mbona hawalipwi?? Wakirusha zinagota huko benki kuu.Wanerekebisha mishahara kwa watumishi,walimu Kuna mserereko wa Madaraja unaandaliwa,vuta subira mzigo unakuja wakutosha!
Huo uzi ni watu wanaulizia mishahara lakini hauendani na kichwa cha habari. Hivyo nimeleta uzi ili watumishi wa umma mpashane habari.JANUARI IPI?
Hatukopi mkuu tunakomaa apa apa.Kakopen
Kwanini unatutenga tusio watumishi wa umma,kwani nasihatuhitaji taarifa🫠Habari za mchana,
Nimeona nifungue huu uzi ili kupashana habari ya kuingia kwa mishahara kwa watumishi wa umma ifikapo kila mwisho wa mwezi. Nimeona kuna uzi Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa? watu wanaulizia mishahara lakini kichwa chake cha habari hakiendani na shauku za watu.
Hivyo karibuni tufahamishane kila mwisho wa mwezi kuhusu kupata na kuingia mishahara kwa watumishi wa umma.
Li nchi hili limefilisika. PSSSF wanalipaga tarehe 23, leo tarehe 24 hawajalipa. Imefilisika kama alivyosema samiaHabari za mchana,
Nimeona nifungue huu uzi ili kupashana habari ya kuingia kwa mishahara kwa watumishi wa umma ifikapo kila mwisho wa mwezi. Nimeona kuna uzi Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa? watu wanaulizia mishahara lakini kichwa chake cha habari hakiendani na shauku za watu.
Hivyo karibuni tufahamishane kila mwisho wa mwezi kuhusu kupata na kuingia mishahara kwa watumishi wa umma.