Mishahara imechelewa kutoka June 2024, watumishi wa Umma wana maisha magumu sana

Status
Not open for further replies.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii Dunia inashangaza sana. Kwa mfano mshahara ukitoka tu utasikia Mwashambwa anamsifia mama Samia, utamsikia MAMA SAMIA ANAWAJALI SANA WATUMISHI AMEWAPA MISHAHARA YAO. TUNAMPONGEZA MAMA SAMIA AMETOA PESA
Nyie ndio mnamuendekeza huyo kumtaja kila mara so anaona keshakuwa maarufu humu JF ndio maana anaandika ushuzi humu. Huyo ilitakiwa awe ignored. Binafsi nilishanuignore huyo jamaa.
 
Malipo n hapa hapa duniani 😅😅😅 nyie watumishi tukijaga Kwenye hzo ofc za serikali mnatupaga pia huduma Kwa kuchelewa.......hasa watumishi wanaofanya NIDA pale ikiwezekana wasilipwe hata miezi mitatuu 😅😅😅
Hahaaaa
 
nadhani hapo unazungumzia kada zote isipokuwa afya maana huku huo muda sijui unautoa wapi, ukiianzisha mradi utakufa tu kama hausimamii mwenyewe maana unakuwa busy htr
 
CHAWA wameongezeka Sana nchi hii, ukumbuke CHAWA wapo kwenye payroll, wanaanza kulipwa wakina mwijaku, babalevo, Lucas na wengine, Kisha wewe mfanyakaz wa umma utafuata
 
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
Wanafunga mwaka.....huwa inachelewa hivi kial mwaka
 
Hiyo kubananisha namna hiyo kwasababu gani mkuu??
Acha vingine havihitaji kua wizara moja, utendaji utasuasua sana.
 
Kama una zaidi ya mwaka kazini na hii kucheleweshewa mshahara siku kadhaa tu tayari mlo wako umekua wa mashaka, aisee jitafakari na ujitathmini vilivyo hapa duniani unafanya nini.
 
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
Mmh.....mbona bado mapema hii.
 
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma
Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka.

Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni.
PEPMIS mmejaza ipasavyo? No accountability no rights.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…