Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Jamani ya kweli haya?Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.
Mwalimu kalokola wa kemondo secondary au Kama ni yeye huyo Mwalimu mjanja mjanja ana bar yake so alitegemea hela itoke Jumamos ili jumapili awauzie bia walimu so hela ikotoka kesho hesabu zake zinamgomea namjua Sana kalokola ana gari yake Noah back thenHuku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .
Mwambie tupo kwenye teuzi za chama chake pendwa, na wenye nchi ndo wameanza upyaaaaaa, kujua hatima ya mali asili zaoHuku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .
Lakini si anasema.kweli?Mwalimu kalokola wa kemondo secondary au Kama ni yeye huyo Mwalimu mjanja mjanja ana bar yake so alitegemea hela itoke Jumamos ili jumapili awauzie bia walimu so hela ikotoka kesho hesabu zake zinamgomea namjua Sana kalokola ana gari yake Noah back then
Hamna ukweli wowote walimu wa vijijini Kama kemondo hela ya kula hawakosi maana Maisha yapo chini Sana lazima waende kazini.Lakini si anasema.kweli?
Wewe unawaza kula . Wao wana madeni ya pombe na michepuko. Hukai kijijini wewe.Hamna ukweli wowote walimu wa vijijini Kama kemondo hela ya kula hawakosi maana Maisha yapo chini Sana lazima waende kazini.
Wanatunga tu then Kama unavyojua watanzania hawana Elimu ya PESA ebu Mwambie awafatilie hata wanajeshi au polisi au madokta wote hao mshahara ukichelewa wanakuaga hoi sana.Hivi hizi tuhuma za walimu kila siku ni kweli au mnatania..πππππππππππππππ
Maana ilikua ndoto yangu hii
Kwani walimu wote wa Kemondo secondary kwa Kalokola wanalewa na michipuko?Wewe unawaza kula . Wao wana madeni ya pombe na michepuko. Hukai kijijini wewe.
Hapo sawa maaana.Wanatunga tu then Kama unavyojua watanzania hawana Elimu ya PESA ebu Mwambie awafatilie hata wanajeshi au polisi au madokta wote hao mshahara ukichelewa wanakuaga hoi sana.
Ulishakaa maeneo ya kijijini? Walimu ndio madon.Kwani walimu wote wa Kemondo secondary kwa Kalokola wanalewa na michipuko?
Mtoa Mada anamiliki bar pale Bukoba alitegemea mshahara uingie Jumamos ili Apate maokoto ya. Watumishi walimu Sasa hela haijatoka ndo hayo mkuu kaamua kuzua taharukiWalimu wanamaisha poa tuu,Kuna watu Wana maisha magumu lakini sio waalimu pia
Ulishakaa maeneo ya kijijini? Walimu ndio madon.
Kesho fanya nenda tawi la NMB ambalo lipo jirani na vijiji kama KemondoNajua lakini Sasa hii habari kuwa kesho watashinda ATM kufata mshahara na kuacha vipindi umeitoa wapi?
Watanzania acheni kuendekeza na kupenda anasa huku mnalialia kama kondoo wapumbavu.Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .