Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 10,017
- 18,537
Achana nayo.... Bora ukanunue mihogo uwe unachoma.... Mwalimu hakutani na posho zaidi ya kusimamia mtihani.....au kusahhisha mitihani... Tena utakuta shule nzima anachaguliwa mmoja ...wanamaisha magumu sana hawa watumishi wenzangu .... Hata Mimi ninayo ila wao wamenizidi ugumu Kwa kiwango kikubwa sana .....Hivi hizi tuhuma za walimu kila siku ni kweli au mnatania..πππππππππππππππ
Maana ilikua ndoto yangu hii