Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.

Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.

Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.

Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .
Kha! kwani walimu ndo wafanyakazi peke yao nchi hii mpunguze kujidekeza na nyie
 
Kaba nka Byabato ayalizile omubantu.
Byabato natina abajumbe mwa aliyo umuisiki wa Ccm nagombea mbwenu nagaba egesi ombajumbe na omkaikulu wange bamuaile omtungi so natina muno mwa chonka byabato Aina rugezi rugezi mushuma😁

Byabato is Afraid about his position
 
Mbwa weweee....unatuoanje walimu Kwa Nini mnatudhalilisha kiasi hikiii
Ushawahi ishi na watumishi wengine wewe...?!!
Manesi,watendaji n.k
Hebu mtukome kwanza tumewachoka Kila Siku walimu walimu walimu,maisha yetu magumu tunakula makwenu?!!!
Si useme wewe ndo una maisha magumu Sasa hiviii...ulaaniwe na dhihaka zako...!!
Wangapi humu wanaoulizia mishahara na sio walimu?!!!
Mbwa weweeeeeee..umenikera sanaaa
We Lofa tu
 
Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.

Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.

Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.

Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .

Wanakopa hadi karanga[emoji2305]
 
Byabato natina abajumbe mwa aliyo umuisiki wa Ccm nagombea mbwenu nagaba egesi ombajumbe na omkaikulu wange bamuaile omtungi so natina muno mwa chonka byabato Aina rugezi rugezi mushuma[emoji16]

Byabato is Afraid about his position
Nkashobelwa ,omushaija kulila omubantu mara mushana.Byabato yaba muto kazilo.
 
Back
Top Bottom