proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
Sehemu inayofanya walimu kuonekana washamba ndio hili la kujirusha ovyo ovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie huyo mwalimu aache ujinga 21 Ya mwezi tangu serikali ikalipa mishahara .Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .
Sio kweliLaki saba ni mwaliku aliyefundisha miaka zaidi ya kumi na ana Diploma
Hii tu inaonyesha hujafanya kzi serikalin serkali imelipa zaidi ya miezi 10 mshahara tarehe 21 na kuna miezi iliwah kulipwa mpaka tarehe 20..Mwambie huyo mwalimu aache ujinga 21 Ya mwezi tangu serikali ikalipa mishahara .
Nimefanya kazi kwa miaka 9 na serikali sijawahi ona mshahara wa tarehe 21 ya mwezi
Si kweli, mimi naishi jirani na walimu wanafundisha shule kama mbili tatu zipo kwenye makambi, wana maisha mazuri tu,tena na wana vigari kabisa, na majuzi nilitembelea shule moja ya msingi,kumejaa magari madogo ya walimu,kuonyesha kwamba kiuchumi wapo afadhaliHivi hizi tuhuma za walimu kila siku ni kweli au mnatania..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Maana ilikua ndoto yangu hii
Jisemee mwenyewe mkuu.Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .
Uingie kwenye ualimu tuHivi hizi tuhuma za walimu kila siku ni kweli au mnatania..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maana ilikua ndoto yangu hii
Utakuta mtoa post n mwalimu hii mijitu inapenda kujichoresha mno.Sehemu inayofanya walimu kuonekana washamba ndio hili la kujirusha ovyo ovyo
Katika kitu wanazingua ni utaratibu wa kupanga foleni kila mtu anajua mshahara umetoka ila CRDB hakunaga foleni utakuta mtu ana kadi kama 5 hivi kazishikilia ila walimu kweli wanahitaji msaadaMwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .
Fala sanaaa.Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani .Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka jumosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza .
Hivi hizi tuhuma za walimu kila siku ni kweli au mnatania..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Maana ilikua ndoto y
Walimu Wana mishahara mikubwa sana,...basi tu kujiendekeza.!Hamna ukweli wowote walimu wa vijijini Kama kemondo hela ya kula hawakosi maana Maisha yapo chini Sana lazima waende kazini.
Daah bora hata wewe mkuu umeongea kitu chenye kutia moyo an khaaa 🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌Si kweli, mimi naishi jirani na walimu wanafundisha shule kama mbili tatu zipo kwenye makambi, wana maisha mazuri tu,tena na wana vigari kabisa, na majuzi nilitembelea shule moja ya msingi,kumejaa magari madogo ya walimu,kuonyesha kwamba kiuchumi wapo afadhali
Copy that...Uingie kwenye ualimu tu
Utajuwa huko huko
Ova
Mshahara haulipwi kwa matarajio ya mtu,basi mwisho wa mweziMwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani. Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka Jumamosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza.
Wanajiendekeza na nini tena.?Walimu Wana mishahara mikubwa sana,...basi tu kujiendekeza.!
sifanyi kazi serikalini ila hapa haupo sahihi chiefMwambie huyo mwalimu aache ujinga 21 Ya mwezi tangu serikali ikalipa mishahara .
Nimefanya kazi kwa miaka 9 na serikali sijawahi ona mshahara wa tarehe 21 ya mwezi