Neuro
JF-Expert Member
- May 13, 2017
- 1,551
- 1,721
Acheni dhihaka aisee, mbona kuna waalimu kibao wadegree, nahivi unajua kiwango cha mshahara wa mwalimu wa degree kweli.Laki saba ni mwaliku aliyefundisha miaka zaidi ya kumi na ana Diploma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acheni dhihaka aisee, mbona kuna waalimu kibao wadegree, nahivi unajua kiwango cha mshahara wa mwalimu wa degree kweli.Laki saba ni mwaliku aliyefundisha miaka zaidi ya kumi na ana Diploma
Mwalim kachafukwa ccm hamuibi tena kura pitia kwa walimMbwa weweee....unatuoanje walimu Kwa Nini mnatudhalilisha kiasi hikiii
Ushawahi ishi na watumishi wengine wewe...?!!
Manesi,watendaji n.k
Hebu mtukome kwanza tumewachoka Kila Siku walimu walimu walimu,maisha yetu magumu tunakula makwenu?!!!
Si useme wewe ndo una maisha magumu Sasa hiviii...ulaaniwe na dhihaka zako...!!
Wangapi humu wanaoulizia mishahara na sio walimu?!!!
Mbwa weweeeeeee..umenikera sanaaa
Sio vigari sema tukodoo, au tumbuzi , wapi umeona mwalimu anatembelea mnyama, ni tukondoo na tumbuzi wanatembeleaSi kweli, mimi naishi jirani na walimu wanafundisha shule kama mbili tatu zipo kwenye makambi, wana maisha mazuri tu,tena na wana vigari kabisa, na majuzi nilitembelea shule moja ya msingi,kumejaa magari madogo ya walimu,kuonyesha kwamba kiuchumi wapo afadhali
Yeah,maisha yanaendelea mkuu....unajua kumdharau MTU usiyemlisha huo ni muwasho kama miwasho mingine mkuu?!Sawa mliotoboa ety 😂😂😂😂🙌🙌
Naingia ktk CRDB app kila baada ya lisaa kuaona Kama maua yanarukaruka
Nilikua sijui mkuuYeah,maisha yanaendelea mkuu....unajua kumdharau MTU usiyemlisha huo ni muwasho kama miwasho mingine mkuu?!
🤣🤣🤣🤣🤣Mbwa weweee....unatuoanje walimu Kwa Nini mnatudhalilisha kiasi hikiii
Ushawahi ishi na watumishi wengine wewe...?!!
Manesi,watendaji n.k
Hebu mtukome kwanza tumewachoka Kila Siku walimu walimu walimu,maisha yetu magumu tunakula makwenu?!!!
Si useme wewe ndo una maisha magumu Sasa hiviii...ulaaniwe na dhihaka zako...!!
Wangapi humu wanaoulizia mishahara na sio walimu?!!!
Mbwa weweeeeeee..umenikera sanaaa
[emoji23]Oya ukitoka tustuane wakuu, hata sisi wa serikali kuu hali ni tete
Bil 75 zimelipwa majuzi sidhani kama kibuyu kina chochote hivi sasaMwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani. Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka Jumamosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza.
Oya ukitoka tustuane wakuu, hata sisi wa serikali kuu hali ni tete
Yeah,wadeal na yao mkuuNilikua sijui mkuu
Sasa nimeelewa hapa...
Hao wenye dharau naimani wana la kujifunza hapa ...
BadoBado tu hakuna maua?[emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee niite Copenhagen, nishachoka😁😁Watanzania acheni kuendekeza na kupenda anasa huku mnalialia kama kondoo wapumbavu.
Hii nchi fursa ni nyingi sana kilimo, ufugaji na uvuvi pamoja na vibarua uchwara kwa bakheresa huko hasa ukiwa muislamu.
Fanyeni kazi msitegemee ajira na mishahara.
adriz
Walimu mpo wengi kwa hiyo watu wanaleta hoja zao kupitia mgongo wa walimu ili wahusika washughulikie mapema😂🤣🤣🤣🤣🤣
Naongezea "mbwaaaaaa"!
Stress zao wanataka kutumalizia sie, wao waloyapatia maisha huo muda wa kutusakama wanautoa wapi!! Shenzeeee kila anayetaka kujua mshahara kama umetoka anajifanya ni mwalimu.
Tuma invitation chap nilikimbie hili vumbi na watu wakeKaribu mkuu
😂😂😂Nimekuja
ipo siku tutakuja kupigana humu ndani aseeLeo nitapiga picha ya foleni nmb Gongolamboto muone jinsi watu wanavyoteseka.