chendelela
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 1,145
- 1,008
Je wote wanaopanga mafoleni n maticha?Leo nitapiga picha ya foleni nmb Gongolamboto muone jinsi watu wanavyoteseka.
kwa mtu mjanja anachomoa mpunga kwa wakala,apps za bank fasta tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je wote wanaopanga mafoleni n maticha?Leo nitapiga picha ya foleni nmb Gongolamboto muone jinsi watu wanavyoteseka.
Mimi ndugu zangu asilimia kubwa ni walimu nnawafahamu vizuri waalimu kinachowaumiza asilimia kubwa ni mikopo wanaipenda sn halafu hawaangalii riba akiwa na shida hata akiambiwa riba 70% anachukuaWalimu Wana mishahara mikubwa sana,...basi tu kujiendekeza.!
🤣🤣🤣Naingia ktk CRDB app kila baada ya lisaa kuaona Kama maua yanarukaruka
Vipi, kuna ishu yoyote ya mokoto hadi mida hii?Naingia ktk CRDB app kila baada ya lisaa kuaona Kama maua yanarukaruka
Ole wako unipige picha na mimi kitaumana, maana nipo tayari hapa Mzambarauni na kadi yangu nasubiria sms nitimue vumbi kuwahi.Leo nitapiga picha ya foleni nmb Gongolamboto muone jinsi watu wanavyoteseka.
AhahahaOle wako unipige picha na mimi kitaumana, maana nipo tayari hapa Mzambarauni na kadi yangu nasubiria sms nitimue vumbi kuwahi.
Usitukane kwenye Uzi wako tena mkuu, unaharibu.Mashoga wengi wana mboro kubwa ila wanafirwa na vibamia
I am sorryUsitukane kwenye Uzi wako tena mkuu, unaharibu.
BTW : Hili neno hivi hamuoni hata kinyaa kulitamkaa???
🤣🤣🤣Kuna mtu alisema "salary" ni "opium "! Kabla haujafika alosto mbaya...ukifika muangalie mtu usoni. Yaani anakuwa na dalili zote za mtumia " mihadarati".
Haya maneno yalinichoma sana.
Wewe ni mwalimu hakika. Hali za maisha za walimu zinatia huruma wanakopa mno madukani tofauti na kada zingine mkuu.Wanatunga tu then Kama unavyojua watanzania hawana Elimu ya PESA ebu Mwambie awafatilie hata wanajeshi au polisi au madokta wote hao mshahara ukichelewa wanakuaga hoi sana.
Walimu wanadaiwa jmnHivi hizi tuhuma za walimu kila siku ni kweli au mnatania..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maana ilikua ndoto yangu hii
Sanaaaa mkuuWanatunga tu then Kama unavyojua watanzania hawana Elimu ya PESA ebu Mwambie awafatilie hata wanajeshi au polisi au madokta wote hao mshahara ukichelewa wanakuaga hoi sana.
Walimu gani hao? Hadi sisi wa yudom? Mimi ni Mwalimu wa primary kwenye account Kuna M7 ambayo sijaikopa Nina mwaka wa pili kwenye ajira. Na Mimi nipo kwenye ilo kundi?Ila walimu jmn Wana Hali mbya mno mno waangaliwe jmn