Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Hajui huyoUlishakaa maeneo ya kijijini? Walimu ndio madon.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui huyoUlishakaa maeneo ya kijijini? Walimu ndio madon.
AhahahaMshahara tayari umetoka, lakini mshahara uliotoka ni mshahara wa dhambi ni mauti
Wanajazana sana pale...Leo nitapiga picha ya foleni nmb Gongolamboto muone jinsi watu wanavyoteseka.
Wanaungana walimu wote wa chanika, la mboto na pugu na ATM iko moja.Wanajazana sana pale...
Maaskari magereza, field force unit cops, na walimu leo saa moja lazima wapigane ngumi paleWanajazana sana pale...
Benki ziko nyingi wao wanakumbatia nmb tu.Wanaungana walimu wote wa chanika, la mboto na pugu na ATM iko moja.
Hapo bado Askari wa Magereza humo humo wanaingia.Wanaungana walimu wote wa chanika, la mboto na pugu na ATM iko moja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi hawajawaweke hela bado maana waalimu wanaweza kuua mtuMshahara tayari umetoka, lakini mshahara uliotoka ni mshahara wa dhambi ni mauti
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]waalimu mateso ni makali"Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani"
Hii sentensi imenichekesha sana!
Hali haikuwa shwari nakwambia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Maaskari magereza, field force unit cops, na walimu leo saa moja lazima wapigane ngumi pale
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Hali haikuwa shwari nakwambia[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Tayarii Posho ya utumwaaa ishaingiaaa mzee babaa..[emoji16]TAYARI HELA IPO HEWANI [emoji123][emoji123]
Kweli jamaa?Only CRDB
Bado anazingua huyoKweli jamaa?