DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Mshahara umetoka Ndugu tangu Saa moja Au hutumii CRDB mkuuUongo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshahara umetoka Ndugu tangu Saa moja Au hutumii CRDB mkuuUongo
Huyo warder upandaji wake wa vyeo ni mgumu Sana compared to Mwalim atasugua sana benchi hapo kwenye warder/wardressUnajua Total allowances za Askari Magereza yule Wardee tu aneanza kazi mkuu!?? Kwa Mwezi akipiga hesabu Teacher anaenza kazi na HESLB juu hamfikii
Utaanza kazi bila kupitia Warder/wardres sheria ni miaka mi3 au mi4 kwa utaratibu wasasahv anakuwa Corporal assume ni Diploma Holder au Degree holder ambae ataruka kuwa SGT/A/insp na kwa utaratibu wa sasa mshahara unaanza badirika kulingana na Fani kwanza kabla ya cheo unajua hilo mkuu!?Huyo warder upandaji wake wa vyeo ni mgumu Sana compared to Mwalim atasugua sana benchi hapo kwenye warder/wardress
Unajua tgts E ni sh ngap mkuu kwa sasa?Utaanza kazi bila kupitia Warder/wardres sheria ni miaka mi3 au mi4 kwa utaratibu wasasahv anakuwa Corporal assume ni Diploma Holder au Degree holder ambae ataruka kuwa SGT/A/insp na kwa utaratibu wa sasa mshahara unaanza badirika kulingana na Fani kwanza kabla ya cheo unajua hilo mkuu!?
Nauliza hivi kaka Mwalimu ana level ipi ya Elimu kwanza!??Unajua tgts E ni sh ngap mkuu kwa sasa?
DegreeNauliza hivi kaka Mwalimu ana level ipi ya Elimu kwanza!??
Askari magereza hatari.Haujawajua askari magereza wewe!
Unauhakika? Kipindi cha Magufuli mpaka trh 18 mshahara ulitokaMwambie huyo mwalimu aache ujinga 21 Ya mwezi tangu serikali ikalipa mishahara .
Nimefanya kazi kwa miaka 9 na serikali sijawahi ona mshahara wa tarehe 21 ya mwezi
Tuweke mizania Sawa Degree ya Ed Mwalimu na Degree ya Ed awe Jeshi lolote wizara ya Mambo ya ndani afu ndio tuje tujadili mkuu wanguDegree
Ajira mpya Sayansi 840,000Degree
Uliposema kuwa teacher mwenye makato ya heslb maana yake ulijua kuwa ni teacher mwenye degree Kwa sabb wao ndio wanapata mikopoTuweke mizania Sawa Degree ya Ed Mwalimu na Degree ya Ed awe Jeshi lolote wizara ya Mambo ya ndani afu ndio tuje tujadili mkuu wangu
Wapi mpwayunguAjira mpya Sayansi 840,000
Sawa mkuu wangu!!Uliposema kuwa teacher mwenye makato ya heslb maana yake ulijua kuwa ni teacher mwenye degree Kwa sabb wao ndio wanapata mikopo
Sijui mishahara ya wizara ya mambo ya Ndani kwa hao degree holders fresh
Daaah aiseeeeeMkuu mishahara ikitoka tu nende Nmb ATM iliyokaribu nawe....
Duh kwa hiyo ukiwa na salary yenye koma moja Bado ni posho nilikuwa sijuiSawa mkuu wangu!!
Tupambane niko kwenye utumishi pia wizara ya Afya mwaka mmoja tu ila nina ndugu zangu wawili askari magereza na Mwalimu kias flan najua hizi habari kikubwa tupambane tu mishahara kama ukikatwa ukabaki na koma moja tu huo sio mshahara ni Posho!!
Hiyo ni allowance ya mtu.. hapo hujagusa Mshahara.. hawa Waalim kwa kweli huruma sana.Ajira mpya Sayansi 840,000
Nyama mara sita Kwa mwezi ni safi kabisa wastani wa mara 1.2 Kwa wikiAskari magereza hatari.
Wanatia huruma.
Nyama kwao labda mara 4-6 tu kwa mwezi.
HapanaIna maana. Wewe ndo kalokola mwenyewe mwenye bar pale katerero center unafundisha kemondo secondary ???
Benki ziko nyingi wao wanakumbatia nmb tu.
crdb iko poa sana