Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

MKUU SAMAKI UNAKULA LINI?
Kitu ambacho nimefeli maishani mwangu ni kujiwekea bajeti ya chakula mfano Jumatatu nitakula kitu fulani kwa kiasi hiki au niwekee kiasi fulani kwa ajili ya matumizi ya mwezi mzima?
Samaki, kuku, pork ni majaliwa! Kama mwaka huu kuku amekufa mara moja. Haya mabroiler hatuli.
Budget na aina ya chakula na kiasi ni muhimu Kwa upande wangu. Lakini sijifungi lazima Nile kitu fulani jumatatu. But all east Kila wiki kuna vitu tutakula!
 
Hizi people mshahara umekaza wameubana safari hii maji tutaija maa
 
Samaki, kuku, pork ni majaliwa! Kama mwaka huu kuku amekufa mara moja. Haya mabroiler hatuli.
Budget na aina ya chakula na kiasi ni muhimu Kwa upande wangu. Lakini sijifungi lazima Nile kitu fulani jumatatu. But all east Kila wiki kuna vitu tutakula!
mm nipo vizuri sana kwenye suala la matumizi na najua vzuri kujibana kwenye mambo ambayo sio ya msingi kwasababu kipato changu ni cha kawaida ila budget ya chakula imenishinda aise nanunua vitu vya jumla kama mchele na mahindi(huwa nasaga mwenyewe mashineni dona) vzuri tu ila siwez kujiwekea mfano 20k kwa ajili ya wiki nzima mboga SIWEZI AISEEE......nakula sana mboga za majani na matunda haipiti siku sijala tunda na maji mengii ya kutosha,sikumbuki mara ya mwisho kupika samaki,dagaa,njegere au maharagwe na sijaweka nazi
 
mm nipo vizuri sana kwenye suala la matumizi na najua vzuri kujibana kwenye mambo ambayo sio ya msingi kwasababu kipato changu ni cha kawaida ila budget ya chakula imenishinda aise nanunua vitu vya jumla kama mchele na mahindi(huwa nasaga mwenyewe mashineni dona) vzuri tu ila siwez kujiwekea mfano 20k kwa ajili ya wiki nzima mboga SIWEZI AISEEE......nakula sana mboga za majani na matunda haipiti siku sijala tunda na maji mengii ya kutosha,sikumbuki mara ya mwisho kupika samaki,dagaa,njegere au maharagwe na sijaweka nazi
Una tofauti gani na ambao hawafanyi hivyo ukijiangalia

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Sawa mkuu wangu!!

Tupambane niko kwenye utumishi pia wizara ya Afya mwaka mmoja tu ila nina ndugu zangu wawili askari magereza na Mwalimu kias flan najua hizi habari kikubwa tupambane tu mishahara kama ukikatwa ukabaki na koma moja tu huo sio mshahara ni Posho!!
mishahara kama ukikatwa ukabaki na koma moja tu huo sio mshahara ni Posho!!😂😂😂😂
 
Sasa unabaki na 517,200/= huu unaita ni mshahara

Mishahara ya TZ mizuri sana ukiisikia Basic njoo Takehome sasa Mungu anajua
Hiyo ni posho mkuu, mshahara una koma mbili au tatu, tuendelee kula miguu ya kuku.
 
Back
Top Bottom