Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

Mishahara imechelewa kutoka, walimu wana maisha magumu sana

Mbwa weweee....unatuoanje walimu Kwa Nini mnatudhalilisha kiasi hikiii
Ushawahi ishi na watumishi wengine wewe...?!!
Manesi,watendaji n.k
Hebu mtukome kwanza tumewachoka Kila Siku walimu walimu walimu,maisha yetu magumu tunakula makwenu?!!!
Si useme wewe ndo una maisha magumu Sasa hiviii...ulaaniwe na dhihaka zako...!!
Wangapi humu wanaoulizia mishahara na sio walimu?!!!
Mbwa weweeeeeee..umenikera sanaaa
Hahahaha, nikiona uzi unaomhusu mwalimu kwangu huwa ni burudani.
 
Si kweli, mimi naishi jirani na walimu wanafundisha shule kama mbili tatu zipo kwenye makambi, wana maisha mazuri tu,tena na wana vigari kabisa, na majuzi nilitembelea shule moja ya msingi,kumejaa magari madogo ya walimu,kuonyesha kwamba kiuchumi wapo afadhali
Walimu wengi wana magari lkn mmhhh, tembelea familia zao ujionee.Ukitaka kujua hali mbaya siku moja nenda shule yoyote iliyoko mjini wambie kesho atakayekuja na kadi yake ya ATM nitampa sh 5mln, njoo na milioni 20, unaweza kurudi nazo hizo miln 20.
 
Achana nayo.... Bora ukanunue mihogo uwe unachoma.... Mwalimu hakutani na posho zaidi ya kusimamia mtihani.....au kusahhisha mitihani... Tena utakuta shule nzima anachaguliwa mmoja ...wanamaisha magumu sana hawa watumishi wenzangu .... Hata Mimi ninayo ila wao wamenizidi ugumu Kwa kiwango kikubwa sana .....
Haujawajua askari magereza wewe!
 
Back
Top Bottom