Gentlemen_
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 4,431
- 13,876
Sisi taasisi yetu wameamua kulipa Allowance kwanza.. ipunguze makali..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It might be true, najaribu kufungua appnya CRDB lakini naona haifunguki kabisaBado anazingua huyo
Mie pia ilikuw inazinguaIt might be true, najaribu kufungua appnya CRDB lakini naona haifunguki kabisa
Mkuu mishahara ikitoka tu nende Nmb ATM iliyokaribu nawe....Hivi hizi tuhuma za walimu kila siku ni kweli au mnatania..😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Maana ilikua ndoto yangu hii
Ilivofunguka ukakuta kuna mabadiliko?Mie pia ilikuw inazingua
Mwalimu toka huko utakufaIlivofunguka ukakuta kuna mabadiliko?
Niende wapiMwalimu toka huko utakufa
Allowance only sio mshahara.Ilivofunguka ukakuta kuna mabadiliko?
Kweli mshahara ni kilevi anachopewa mfanyakazi ili asahau ndoto zake
Hahahaha, nikiona uzi unaomhusu mwalimu kwangu huwa ni burudani.Mbwa weweee....unatuoanje walimu Kwa Nini mnatudhalilisha kiasi hikiii
Ushawahi ishi na watumishi wengine wewe...?!!
Manesi,watendaji n.k
Hebu mtukome kwanza tumewachoka Kila Siku walimu walimu walimu,maisha yetu magumu tunakula makwenu?!!!
Si useme wewe ndo una maisha magumu Sasa hiviii...ulaaniwe na dhihaka zako...!!
Wangapi humu wanaoulizia mishahara na sio walimu?!!!
Mbwa weweeeeeee..umenikera sanaaa
Walimu wengi wana magari lkn mmhhh, tembelea familia zao ujionee.Ukitaka kujua hali mbaya siku moja nenda shule yoyote iliyoko mjini wambie kesho atakayekuja na kadi yake ya ATM nitampa sh 5mln, njoo na milioni 20, unaweza kurudi nazo hizo miln 20.Si kweli, mimi naishi jirani na walimu wanafundisha shule kama mbili tatu zipo kwenye makambi, wana maisha mazuri tu,tena na wana vigari kabisa, na majuzi nilitembelea shule moja ya msingi,kumejaa magari madogo ya walimu,kuonyesha kwamba kiuchumi wapo afadhali
Kivipi?Asante mama Samia Suluhu Hassan..
Salary imeingia ingawa kwa kuchelewa. Umetupandisha madaraka ya kiutumishi kwa mserereko.
Samia HOYEEE.[emoji3577]
Acha kudanganya umaAsante mama Samia Suluhu Hassan..
Salary imeingia ingawa kwa kuchelewa. Umetupandisha madaraka ya kiutumishi kwa mserereko.
Samia HOYEEE.[emoji3577]
UongoAsante mama Samia Suluhu Hassan..
Salary imeingia ingawa kwa kuchelewa. Umetupandisha madaraka ya kiutumishi kwa mserereko.
Samia HOYEEE.[emoji3577]
Haujawajua askari magereza wewe!Achana nayo.... Bora ukanunue mihogo uwe unachoma.... Mwalimu hakutani na posho zaidi ya kusimamia mtihani.....au kusahhisha mitihani... Tena utakuta shule nzima anachaguliwa mmoja ...wanamaisha magumu sana hawa watumishi wenzangu .... Hata Mimi ninayo ila wao wamenizidi ugumu Kwa kiwango kikubwa sana .....
Unajua Total allowances za Askari Magereza yule Wardee tu aneanza kazi mkuu!?? Kwa Mwezi akipiga hesabu Teacher anaenza kazi na HESLB juu hamfikiiHaujawajua askari magereza wewe!
Aagh nimesahau alama za uandishi fungua semi na funga semi kuashiria ni nukuu ya Mkuu mmoja miezi kadhaa iliopita.Acha kudanganya uma