Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kupitia kwenye hili sakata la kuchelewa kwa mishahara nimegundua kuwa watumishi wengi siku hizi wakiajiriwa hawapati mafunzo ya kiutumishi kitu kidogo mtu ameshapost yaani mpaka boda wanajua mshahara haujatoka nimeshangaa zaidi kusikia mtangazaji anaongelea hii issue kwenye redio hawa ajira mpya na watumishi wengine wa umma wanatakiwa waenda training hawana siri waliropoka mpaka kiasi cha hela walichoongezewa kwenye mishahara yao mamlaka hamlioni hili ndio maana mambo mengi yanavuja kabla ya mda.t
Maadili gani wewe? Lipeni watumishi mishahara yao acheni kuishi kwa kukariri.Yaap namaanisha mshahara wa mtu binafsi mkuu yaani ni kawaida kukuta mtumishi anasimulia story au matatizo ya ofisini na raia wa kawaida tena mambo ya ndani kama mshahara umechelewa ulizeni kwa mamlaka husika najua kila kitengo kina utaratibu wake hii ya kulalamika mitandao ni kukosa maadili ya kazi ya utumishi wa umma lazima ujiulize mwezi huu kuna nini badala ya kulalamika maana sio kawaida.
Hadi kakimbia nchi,anazuga eti ziaraSerikali imefirisika imeenda kukopa fedha ili iwalipe watumishi mishahara.
Huenda huu ndio mwanzo wa hali ngumu zaidi huko mbeleni.Sijui kwanin imekuwa hiv mwz uliopita iliingia chap
Tena style hii ya kulipa wengine na wengine unawaacha sio nzuriila jamani itafika kipindi mshahara tunaweza kukosa hata miezi miwili wadau dalili ya mvua hii
Na inasemekana ni hadi tarehe30 huko,twafaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaLeo nako bado Dah
Mbaya zaidi haijawahi kutokeaHuenda huu ndio mwanzo wa hali ngumu zaidi huko mbeleni.
mwajiri ndo alalamike???? boss alalamike hajakulipaa ar u kengeee?Ni swala lilio chini ya mwajiri kwahyo aliyepaswa kulalamika ni mwajiri
Mshahara huhesabika kuwa umelipwa tarehe ya mwiso kabisa ya mwezi husika ukishika Salary slip yako utagundua imeandikwa as per 31 au 30 ya mwezi huo..Kama mshahara uliopita ulilipwa tarehe 24, ili kukamilisha siku 30 za mwezi mshahara wa mwezi huu unatakiwa kutoka siku gani?
vita ya israel ndo chanzo mkuu hela zimeishaKulikuwa na shida kwenye mfumo wa ulipaji serikalini (MUSE) tangu mwishoni mwa wiki iliyopita nahisi mpaka sasa haujakaa sawa labda ndo sababu. Maana hata malipo ya ndani kwenye mashirika nayo yamekwama kwa sababu ya mfumo. Sidhani kama ni kwa sababu ya serikali kukosa fedha ya kulipa
Hahaha umewapa za chembeKama wewe si mwajiriwa serikalini imekuja kuvamia huu uzi wewe ni mchawi.
Mshahara ni haki ya mtumishi bila kujali ana miradi mingapi nje ya mshahara.
Ni kawaida kulipwa tarehe 21-23 tangu 2016. Sasa nyie mnaokuja kusuta watumishi kwa kuulizia haki zao nyie ni wachawi, jobless na mafukara
Ni kweli MUSE huwa inasumbua, ila kwa hili la mishahara, sidhani kama MUSE inahusika.Kulikuwa na shida kwenye mfumo wa ulipaji serikalini (MUSE) tangu mwishoni mwa wiki iliyopita nahisi mpaka sasa haujakaa sawa labda ndo sababu. Maana hata malipo ya ndani kwenye mashirika nayo yamekwama kwa sababu ya mfumo. Sidhani kama ni kwa sababu ya serikali kukosa fedha ya kulipa
HahahaMaadili gani wewe? Lipeni watumishi mishahara yao acheni kuishi kwa kukariri.
Serikalini Napozungumzia mwajiri simaanishi Serkali!mwajiri ndo alalamike???? boss alalamike hajakulipaa ar u kengeee?
Kanuni za maadili ya Utendaji ya utumishi wa Umma kifungu cha 9...Mtumishi wa umma haruhusiwi kutoa taarifa za serikali kwa umma usiohusikaMaadili gani wewe? Lipeni watumishi mishahara yao acheni kuishi kwa kukariri.
Yani wewe uache kujililia na nafsi yako usubiri maafisa ambao nao hawajalipwa shida zimekabaaa... mpaka waje kukumbuka kapuku wew hujalipwaa sio leooo jisemee na nafsi yako yapo ya kumlilia afisa utumishi sio huu ujingaa ambao ni wajibu wa serikali kukulipa mshahra maana kazi uliyofanya sio ya maafisa.Serikalini Napozungumzia mwajiri simaanishi Serkali!
Napozungumzia mwajiri namaanisha Maafisa masuhuli wote wa ngazi ya Wilaya na ngazi ya mikoa na Ngazi za kitaasisi!
Kwa mfano Katika wilaya Afisa Masuhuli ni Mkurugenzi wa Halmashauri na ndo muhusika aa stahiki zote za Watumishi..
Kisheria ndo alipaswa kuilalamikia serikali kwa kutokulipa pesa kwenye vyama vyao vya waajiri!
Kutokujua kanuni unaweza ukanitukana uwezavyo ila ndizo sheria zetu na kanuni zetu..
Watu wanaopaswa kulalamika ni vyama vya wafanyakazi na sio wafanyakazi
Ila unatakiwa ulie lie kwa kufuata organogram na mwezi mkuu haujaisha bado kwahyo ambao hawajapata waendelee kusubiriYani wewe uache kujililia na nafsi yako usubiri maafisa ambao nao hawajalipwa shida zimekabaaa... mpaka waje kukumbuka kapuku wew hujalipwaa sio leooo jisemee na nafsi yako yapo ya kumlilia afisa utumishi sio huu ujingaa ambao ni wajibu wa serikali kukulipa mshahra maana kazi uliyofanya sio ya maafisa.
Baadhi ya hizi sheria/kanuni huwa lengo lake ni kulinda serikali kama mwajiri, na kumkandamizi mtumishi kama mwajiriwaView attachment 2792319
Kanuni za maadili ya Utendaji ya utumishi wa Umma kifungu cha 9...Mtumishi wa umma haruhusiwi kutoa taarifa za serikali kwa umma usiohusika
Soma kifungu cha kanuni ya maadili ya utumishi kifungu cha 9 kifungu kidogo cha kwanza mpaka cha 5 nimevituma hapo juu sana sana cha nne na cha tanoYani wewe uache kujililia na nafsi yako usubiri maafisa ambao nao hawajalipwa shida zimekabaaa... mpaka waje kukumbuka kapuku wew hujalipwaa sio leooo jisemee na nafsi yako yapo ya kumlilia afisa utumishi sio huu ujingaa ambao ni wajibu wa serikali kukulipa mshahra maana kazi uliyofanya sio ya maafisa.