jeneralikevin
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 347
- 231
AsanteSalary Tayari Serikali kuu NMB toka saa 12 jioni mzigo upo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AsanteSalary Tayari Serikali kuu NMB toka saa 12 jioni mzigo upo
Umeamua kuamsha dude.Asante
AiseeAsante
na mihemkoHuu ni kati ya nyuzi nzuri sana, zinakuwa active kwa siku tatu au nne pekee kwa kila mwezi
Ndio tarehe zake za kufufuliwa, ikifika jumatano tunaukimbia mazima hadi mwezi ujaoHuu uzi ufutwe kwani huo mshahara hamjapataga tu tangu mwaka jana? Mnatudhalilisha wenzenu.
Mtapata tabu sana, Kwanini msiwe mnalipwq kwanza ndo mnafanya kazi yani wao ndo wawadai kazi siyo nyie muwadai mishahara.Ndio tarehe zake za kufufuliwa, ikifika jumatano tunaukimbia mazima hadi mwezi ujao
Wala hakuna tabu mkuu, tukisoma comment tunafurahi na siku zinasonga. Ila pia inakupa picha ya hali halisi ya watumishi walio wengi.Mtapata tabu sana, Kwanini msiwe mnalipwq kwanza ndo mnafanya kazi yani wao ndo wawadai kazi siyo nyie muwadai mishahara.
very trueWala hakuna tabu mkuu, tukisoma comment tunafurahi na siku zinasonga. Ila pia inakupa picha ya hali halisi ya watumishi walio wengi.
msemaji wa walimuWalimu wako njema Sema jamii imeshakalili ata kama unapata m2 kama una nidhamu na pesa utazidiwa na mtu anayepokea 150 kikubwa ni kuakikisha unazingatia vipaumbele vyako katika life
Sahih Mkuu.Wala hakuna tabu mkuu, tukisoma comment tunafurahi na siku zinasonga. Ila pia inakupa picha ya hali halisi ya watumishi walio wengi.
Daslam unaijua daslam wewe, wa mikoani sawa.Walimu wako njema Sema jamii imeshakalili ata kama unapata m2 kama una nidhamu na pesa utazidiwa na mtu anayepokea 150 kikubwa ni kuakikisha unazingatia vipaumbele vyako katika life
Kwahiyo Darisalama kila mtu ana kipato kikubwa?Daslam unaijua daslam wewe, wa mikoani sawa.
Daslam naijua vyema . Hiv wanafanya kazi viwandan wanapataga ngapiDaslam unaijua daslam wewe, wa mikoani sawa.