Miss_Mariaah
JF-Expert Member
- Nov 9, 2022
- 2,176
- 4,979
Dah we jamaa weweKwa ajirampya mshahara tunaweza kupata na sisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah we jamaa weweKwa ajirampya mshahara tunaweza kupata na sisi?
😄Dah we jamaa wewe
Inafikirisha Sana GIZA mbili mchezo utakuwa unasoma 0-0jamani mkalipee kwa mangi na wana mliowakopaa kabla giza 2 hazijafika
Tayari au ?jamani mkalipee kwa mangi na wana mliowakopaa kabla giza 2 hazijafika
tena weekend aiseeee... jtatu tunaamna na madeniiInafikirisha Sana GIZA mbili mchezo utakuwa unasoma 0-0
Itategemea Mwalimu wa level gani, na mwenye uzoefu wa miaka mingapi!Mishahara ya walimu ni midogo kuliko hata p*mbu za bacteria
Hahaha kuna watu mshahara unakatwa wote hapa anasubiri POSHO zisome..toka jana hii weekend ndo hata giza moja haionii...jamani mshara utoke mwingine bhasii 😀 😀 😀
Acha dharau mkuuMishahara ya walimu ni midogo kuliko hata p*mbu za bacteria
Mnawaonea walimu pekeyao hivi kuna watu watu wana madeni kama wanajeshi au polisi????Mwalimu Kalokola, huku akishushia kangala la mkopo akiwa na kishikwambi kapwani. Mwalimu huyu anasema walimu wana maisha magumu sana.
Mshahara ukichelewa kidogo tu na mikopo inaongezeka.
Walimu wengi walitarajia mishahara kutoka Jumamosi tar 21 lakini haijatoka.
Huenda ikatoka kesho tar 23. Lakini walimu wengi hawana kitu. Hivyo kesho watarundikana kwanza benki za NMB kuhakikisha wanatoa pesa kwanza ili walipe madeni na kuacha nyumba zao ziko salama. Hii itasababisha wasiende kufundisha kwanza.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kitu kimetema