June mwaka Jana tulipata tarehe 20 June 2020. Coz bajeti inaishia but July tulichelewa kwa kuwa mwezi mpya wa fedha kwa mwaka 2020. June 2021 ilibiidi tupate fasta coz hela ipo [emoji23] [emoji23] [emoji23]KILA Mwisho wa mwaka huwa hivi kuwa na subira tu
Wewe umewekeza wapi mkuu?Upumbavu wako ndio unakufanya uwe mtumwa wa mishahara
Wekeza kula mazao ya mshahara sio kula mshahara
NB "Kuna marekebisho makubwa ya madaraja na kulipa baadhi ya malimbikizo hivyo mvumilie mpaka jumatatu"
Tutolee kelele hapa na vimalalamiko vyako vya kishamba.Suala la kuchelewesha mishahara halina uhusiano wowote na kiwango cha mishahara inayolipwa. Mwajiri hulipa mshahara kwa kadri ya uwezo wake, lakini ulipwe kwa wakati. Fluctuation ya namna yoyote ile katika tarehe za kulipa mshahara hudhihirisha either huna cha kulipa au huna nidhamu/unapuuza tu wafanyakazi wako.
Tutolee kelele hapa na vimalalamiko vyako vya kishamba.Hii comment yako ni kutetea ujinga tu.
Bosi hanuniwi? Pale tu
Tutolee kelele hapa na vimalalamiko vyako vya kishamba.Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Ushauri mzuri, lakini sidhani kama atakuelewa. Kajijaza ujinga na vihoja vyepesi na vya kishamba.24 unalalamika? kuna taasisi qamezoea kupitishwa hadi tarehe 2.
lakin kama pia unaona ni ishu. tafuta biashara kuliko kukaa unasubiria mshahara wa serikal.. halad ulichelewa unalalamika.
boss hanuniwi
Kwa kua watu hawauwawi hovyo na hawapotei hovyo kama awamu iliyopita huo mshahara kuchelewa sio nenoLeo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Mbona huji JF kusema kuwa umetoka? Ila kulalamika tu ndio unachowezaMsukuma
Tra, mahospitali na mashule havitafungwa, isipokuwa watapewa posho ndogo saana halafu lilefungu kubwa la mafedha yanayotolewa kulipa mishahara yapelekwe kwenye ujenzi wa miradi itakayoweza kuzalisha ajira mpya zaidi ya million 20. Angalia nimabilion mangapi yanayotolewa kila mwezi kwakulipa watumishi. Tujibane ndani ya miaka mitatu tuone kama hatutakuwa na neema kubwaa baadae.Umenena vema,na watumishi wafunge mashule,mahospital na tra waache kukusanya kodi twende tukajenge reli ya kisasa
Usiku usiku tayariLeo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Mkishajenga reli watu wote watakuwa wamekufaUmenena vema,na watumishi wafunge mashule,mahospital na tra waache kukusanya kodi twende tukajenge reli ya kisasa
Hao watu waliyokuwa wanapotea hovyo ni watu wa aina gani na sababu ni zipi?Kwa kua watu hawauwawi hovyo na hawapotei hovyo kama awamu iliyopita huo mshahara kuchelewa sio neno
Halafu awamu iliopita iliacha deni kubwa sana kwahiyo hata siku tukiambiwa "mwezi huu hautokua na mshahara" poa tu
Ila nyie WASUKUMA mlijua kututesa
Mtoto halali na hela sema tu crdb app haichukui screen shot. Ningekuonyesha muamala. Nyie mliobaki leo mtakenua meno.Sandali Ali mshahara wako umelipwa wapi
Wa tz bana hapa Kuna watu wamekuponda wakijifanya jiajiri wakati na wao choka mbaya wameajiriwa Kama wewe..hii ndo tz life mtandao.
unawaza mshahara tu, fanya kazi kwa ufanisi KwanzaLeo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.
Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.