Mishahara kuchelewa, kipimo kingine cha uwezo wa Rais Samia

Mishahara kuchelewa, kipimo kingine cha uwezo wa Rais Samia

Acha kumtisha mama wewe. Hivi nyie watumishi wa umma mna matatizo gani?
 
Muwe mna shughuli zakufanya hii kutegemea mshahara kuna siku mambo yatagoma mtalala na njaa.
 
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.

Wewe lazima ni mtumishi tu wa serekere, hivi mshahara wa mwezi uliopita ulishamaliza?
 
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.

Haya maswala ya ajira tushayasahau miaka kumi sasa - ebu ingia kwenye uchumi wa dunia ndugu
 
Nabii alishasema 'mtanikumbuka kwa mema, siyo kwa mabaya😜! Mkiambiwa Mh. Dr. JPM ( may his precious soul rest in eternal peace and power amen 🙏😭) alikuwa wa aina yake mzaleta ushetani wenu...na bado mtamkumbuka sana tu mtakapoanza maandamano na migomo ya wanafunzi na wafanyakazi kama wataendelea kumpuuza huyo nabii kwa kutofuata nyayo zake🤔!
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
 
Uongo huo Mtoa post. Wastaafu wamepata 22/06/2021. Wafanyakazi hupata kabla au siku hiyo hiyo. Sema jingine uongo mbaya. Muogopeni Mungu kusema uongo.
 
serikal haijawah kushindwa kulipa mishahara yake.
24 ni mapema sana...
acha kulalamika vitu vya kitoto.
Kautumia mshahara vibaya, ameishiwa. Acha kulipwa monthly, omba daily pay, kila siku utakuwa na hela japo utamudu kupanga budget kiduchu.
 
Leo tarehe 24 mishahara bado haijalipwa. Ieleweke kwamba vitu kama hivi ndivyo vitakavyopima uwezo wa Rais Samia kama anastahili awamu ya pili au la.

Nachelea kusema kwamba kwa mwezi kama huu (mwisho wa mwaka wa fedha) kufika tarehe 24 mishahara haijalipwa si dalili njema huko tuendako.
Ukiona chakula kinachelewa ujue kimeandaliwa vizuri si lelemama.
 
Nabii alishasema 'mtanikumbuka kwa mema, siyo kwa mabaya[emoji12]! Mkiambiwa Mh. Dr. JPM ( may his precious soul rest in eternal peace and power amen [emoji120][emoji24]) alikuwa wa aina yake mzaleta ushetani wenu...na bado mtamkumbuka sana tu mtakapoanza maandamano na migomo ya wanafunzi na wafanyakazi kama wataendelea kumpuuza huyo nabii kwa kutofuata nyayo zake[emoji848]!
Nani amkumbuke aliyemteua sabaya na makonda?
 
Sasa kama aliweka mishahara fixed, hakuna cha nyongeza wala madaraja kwa miaka 6 ni wazi kusingekuwa na marekebisho yoyote jambo ambalo lisingechelewesha mishahara.....
Huyo mtumishi anayehoji eti kuchelewa kwa mshahara kama hajui hata hili uliloandika hapo juu,huyo hafai kuwa mtumishi,maana ni kilaza wa kutupwa kama babake mwendakuzimu.
 
Cha muhimu kwanza amani, nina amani mno huo mshahara uje hata tarehe 39
 
Hata mfanyabiashara huwa anacheleweshwa kupata hela pale ambapo wateja wanakosekana. Mara kumi hata mtumishi wa umma huwa inatabirika, biashara huwa hazitabiriki. Au mmesahau wale waliobaki na mbaazi majumbani mwao juzi tu hapa?
Tani 27 za mbaazi nimeuza kwa nusu bei.
 
Ni suala la muda tu hadi 2023 watumishi wa umma mtaanza kumwelewa mtoa mada, kuna hatari ya kurudi enzi za mzee ruksa kwa watumishi wa umma.Kama wewe ulikuwa mdogo kipindi hicho ndio utajifunza, kinachowapasa ni kutafuta vyanzo vingine vya mapato, ni hayo tu.
 
24 unalalamika? kuna taasisi qamezoea kupitishwa hadi tarehe 2.

lakin kama pia unaona ni ishu. tafuta biashara kuliko kukaa unasubiria mshahara wa serikal.. halad ulichelewa unalalamika.
boss hanuniwi
Taasisi ipI? Ikhali zote hulipwa same time. Pumbavu kabisa wewe. Yaani kuna watu hawajui chochote kazi kutetea upumbavu
 
Tujifunze kunyamaza endapo hujui kitu kuliko kuandikat ugolo hapa jukwaani
 
Mleta uzi umewahi fanya kazi kwenye taaaisi zinazomilikiwa na WAHINDI(INDIANS)???
Kule hadi tarehe 10 ya mwezi ujao bado bila bila
 
Badala ya kuja na wazo kwamba mishahara isitishwe ndani ya miaka mitatu, ilifedha hizo zikaelekezwe kwenye miradi itakayoweza kujenga ajila za watu million kumi, we we unatuletea mishahara kuchelewa mapema hiii.
Umenena vema,na watumishi wafunge mashule,mahospital na tra waache kukusanya kodi twende tukajenge reli ya kisasa
 
Back
Top Bottom