Tetesi: Mishahara mipya kwa watumishi wa umma

Status
Not open for further replies.
COMFIRMED.
Kwa docs nilizoziona ni kwamba hakuna badiliko lolote la mshahara.
Ndugu tujizue kuwa tunatoa taarifa za kuzusha.
Haina maana kudanganya kwenye mada serious kama hizi.
nimeaprove hata miye uko sahihi mkuu
 
nimesikia tetesi maafande wameongezewa posho kutoka 300,000 hadi 400,000 sijui kama ni kweli
 
Tuendelee kudanganyana kupunguziana stress, binafsi viuzushi hivi vinanipa burudani hv. Naandaa id fake na mie nitoe kibomu kilichoenda shule niliwaze wanaoliwazika..
 
Tuendelee kudanganyana kupunguziana stress, binafsi viuzushi hivi vinanipa burudani hv. Naandaa id fake na mie nitoe kibomu kilichoenda shule niliwaze wanaoliwazika..

Nachukia sana mtu aina Yako!! sa ukishatuongopea utapata faida gani? zaidi utapata dhambi buree usifanye hivyo muogope muumba
 
Dr
Dr Makufuri kasema haongezi hata shilingi....mbona nyie mnakuwa wagumu wa kuelewa,?
 

Wewe sheria ya makosa ya mtandao inakuhusu. Subiri hapohapo tunakuja kukuchukua tukupeleke mahali salama
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…