Kilwa94
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 2,676
- 3,046
kwahiyo jana mkaamua kuwawekea kwanza wanajeshi wetu?Ha ahaa a.., lahasha! Utatumika utaratibu wa kawaida, kilichobadilika ni muda uliotumika kuhakiki Watumishi kazi ambayo imelazimu watu kukesha wakifanya kazi, ingawaje mambo yatakuwa mazuri ASAP!