Mlaleo
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 14,809
- 11,825
Wa NHC USD 13000 kwa mwezi,hapo zamani nafikiri kwa sasa inawezekana kajiboreshea zaidi
13000usd 1usd =1600 times 13000 unapata =20,800,000 ndio mshahara wake na kama kajiboreshea basi ni balaa tupu niyo ukiachia Nyumba ya kuishi usafiri yeye na familia yake tote vocha za simu dharula chai yake na ya wageni kazini na nyumbani yaani upuuzi ni mwingi huwa inazidi hadi mshahara so unaweza kuta jamaa kwa mwezi anaondoka na m80 au m100 kwa Raisi ni kufuru kwa jinsi navyomfahamu tokea pale alipopewa uwaziri wa fedha akaanza makeke yake akilitaka lile Range rover 4.6 akatanue nalo bagamoyo huku akimkataa dereva wa hilo gari wakati sheria zilikuwa haziruhusu