Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Babu umeamua kuingia na ID ya Ufipa street ili ufanye kosti benefiti za milioni 7na mikopo ya kujipangia na mshahara wa rais?
 
Mshahara wa rais ni huu hapa 598000000 kwa mwezi na posho ya safari za ndani ni5000000 kwa kila mkoa na hapo mafuta ya magari na vitu vingine ni serikari ndio wanagharamika bado posho za uongozi 9000000 kila mwezi jumlisha ndio utapata mshahara wake ambao hauna makato kama ya wengine jumla ni 612000000TSH bwana msinitoe meno
 
Hata wakisema Mtu anaetaka kuwa Rais awe analipia Milion 100 kwa Mwezi kwa kuwa Rais bado watu watapigania na kuuana Urais ni Zaid ya Mshahara!
 
Mshahara wa rais umeendelea kubaki siri si yeye tu wako kibao na hawalipi kodi na kama wanalipa wathibitishe hapa.
 
Ni haki ya wananchi kufahamu mshahara wa rais wao.
 
Watoto wa Kinondoni naona sasa mmekosa hoja badala ya kwenda kujadili maswala ya wadogo zenu waliopata zero kwa kuvaa suruali za pinki za kuwabana mapaja na kusikiliza head phones masaa yote mnataka kujua mshahara wa rais ili mkaanzishe hoja binafsi.

Hakika mmezidi kufilisika. Kabla hamjaulizia mshahara wa rais wetu hebu kwanza waambieni wabunge wenu wasipokee posho.
 
Kwenye katiba mpya, mwajiriwa namba moja katika ofisi za umma ambaye nni Rais wa nchi sharti awe ni MLIPAKODI namba moja.

Chini ya wazo hili hapa ni lazima rais atajwe mshahara wake wazi, majukumu yake ya kazi na jinsi gani ya kupima utendaji wake kama mfanyakazi yeyote yule.

Sababu yangu ya kusema hivo ni kwa kuwa ni mtu huyu huyu ndiye tunayemhudumia kwa gharama kubwa zaidi kwa kutumia kodi zetu kuliko afisa yeyote yule.
 
kwakweli hata mimi sijui ni sh ngapi
kwa unaefahamu usiogope kukatwa kucha na kung'olewa meno

HILI SHAVU KWAKO TILILIKA

Currently Tshs 38 millions per month, non taxable in anyway!... Habari ndio hiyo
 
Mshahara wa rais ni huu hapa 598000000 kwa mwezi na posho ya safari za ndani ni5000000 kwa kila mkoa na hapo mafuta ya magari na vitu vingine ni serikari ndio wanagharamika bado posho za uongozi 9000000 kila mwezi jumlisha ndio utapata mshahara wake ambao hauna makato kama ya wengine jumla ni 612000000TSH bwana msinitoe meno

Vipi hakuna bajeti ya Ukimwi kwa ajili ya msafara wa Raisi?
 
Swali zuri sana na nadhani Ikulu watakapo kamilisha site yao ni vizuri wakiziweka habari hizi wazi kwa wananchi kuziona... Waajiriwa wote wateuliwa na rais ni vizuri tukifahamu mishahara yao!

sıku zote walıkuwa wapı...how much does ıt cost kuwa na sıte? hawana mpango huo manake sıkuzote mafısadı wana sırrı nzıto!!
 
Watoto wa Kinondoni naona sasa mmekosa hoja badala ya kwenda kujadili maswala ya wadogo zenu waliopata zero kwa kuvaa suruali za pinki za kuwabana mapaja na kusikiliza head phones masaa yote mnataka kujua mshahara wa rais ili mkaanzishe hoja binafsi. Hakika mmezidi kufilisika. Kabla hamjaulizia mshahara wa rais wetu hebu kwanza waambieni wabunge wenu wasipokee posho.
kwani mbunge wako hapokei
 
Mshahara wa rais ni huu hapa 598000000 kwa mwezi na posho ya safari za ndani ni5000000 kwa kila mkoa na hapo mafuta ya magari na vitu vingine ni serikari ndio wanagharamika bado posho za uongozi 9000000 kila mwezi jumlisha ndio utapata mshahara wake ambao hauna makato kama ya wengine jumla ni 612000000TSH bwana msinitoe meno


Ndio maana wakina nanihiii na nanihii wako tayari kwa lolote na gharama yoyote ili mradi waingie ikulu, iko kazi kweli kweli!
 
Back
Top Bottom