Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Itakusaidia nini mkuu ukijua? Ushauri wa bure tafuta hela yako kihalali achana na mishahara ya watu utaishia kuumia tu wakati huwezi kuinfluence kitu hapo!!!!
Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
 
hii nchi haina viogozi bora kiongozi ndo whats going on na kuhusu salary wanajua wanavyopeana maana no evidence of reality
 
mjue mshahara mkapange folen ya msaada
ila nchi yetu kila kitu ni cri km ukolon bn
 
Wewe hukusanyi kodi, achana nao utapata presha bure! Kila mwaka bajeti inapanda lakini pesa yote inaishia kuhamishiwa kwenye maAkaunti ya wakubwa kupitia mtandao. Hivi unajua Hazina na Serikali yote sasa hivi hawaandika hundi tena?

Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
 
Democracy needs transparency to be effective.
Check out government transparency in action! The White House is required to deliver a report to Congress every year listing the title and salary of every White House office employee.

See them all here: 2014 Annual Report to Congress on White House Staff | The White House
obam.jpg
 
Mada yako tamu mjumbe, hongera
jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
 
Mi navuta 21m Kwa Mwezi, chanzo ni cha uhakika Kwa sbb NI Mi mwenyewe. Na NI Mtumishi Wa Serikali za mtaa

Duh!nipe siri yako mheshimiwa,natamani kuwa kama wewevna sio kuwa mtu wa majungu kama wengine humu janvini
 
Guyz naomba msaada ile issue ya wabunge kupigana malysia nasikia kuna dada wa dodoma wa chadema anahusika naombeni mnijuze plz
 
rais hana mshahara ila ana matumizi yanayosimamiwa na jumuia ya madola
 
Hii ilijadiliwa humu JF 13th October 2013.
Raisi analipwa kiasi cha millioni 384 sawasawa na shilingi milioni 32 kwa mwezi. By zitto.

Hmm...kama ni hivyo sijui atakuwa kaufanyia wapi tu huo uchunguzi maana mimi nina zaidi ya miaka sita sasa nataka niujue lakini wapi!...
Si kila jambo lahitaji kuambiwa mpaka uchunguzi umefanyikaje...cha msingi ni kuwa Zitto alisema hayo hadharani na JK hakupinga hivyo, so simply and logically it's true.
 
Back
Top Bottom