Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Mishahara ya viongozi wa Tanzania

Ivi mpk sasa ivi hamjajua tu? Kwa nini hakuna mtu anamuuliza kwenye kampeni? au hapokei haya maswali? Tunataka kujua mshahara na marupurupu!
 
Mimi taarifa niliyonayo wakati ali hassani mwinyi anamaliza muda wake wa urais alikuwa anapata milioni 30 kwa mwezi kama mshahara na marupurupu yake yote
 
Polisi anayeanza kazi analipwa USD 1960 kwa mwaka yaani dola 160 kwa mwezi sasa huoni hali mbaya sana huyu hawezi hata kumsomesha mtoto katika shule muhimu na pia ukilinganisha na mtu anayefanya kazi leo Serikalini analipwa USD 520 kwa mwezi huoni ni nani muhimu hawa wazee wanataka kulindwa maslai duni watakoma hawa polisi si wamekubali kukirudisha Thithiemu Madarakani tena wana mpango kupunguza:bowl:
 
I once read somewhere (nadhani kwenye yahoo news) kuwa mshahara wa obama ni dola laki nne...nadhani article ile ilianzia kwenye issue nzima ya wamarekani kuhoji spending ya kiwango chake ya presidaa wao wakati fulani wa holiday..so kwa america si issue i think, na hata wa vice presidaa wao waliuonyesha na hata wa seneta...
ila huku kwetu duu..balaa..kuna mshikaji wangu alishawahi kufika scandinavian country (sijui ipi) anasema unaweza jua income ya mtu (incuding mshahara wake) kwenye mtandao tuu, wako very transparent..

bob, hiyo dola laki nane ni kwa mwezi au?
 
Nitajie mshahara wako nikwambie mishahara ya hao watu.
 
Ukweli viongozi wetu wanakula parefu sana thats ni ngumu kuitangaza.Lkn nina uhakika Docta Slaa siku zikimkalia vizuri tutaujua ukewli.Kuna jamaa mmoja hapo kasema USA anapata dola 400000,bongo akichukua dola 200000 ni wizi coz uchumi wetu haufiki hata 0.000001 ya wa USA.TUNAIBIWA SANA
 
Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.

Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?

Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?

Msituchanganye wengine jamani, tunakwenda vizuri ila kuna vitu vingine havitakiwi kuvitia chumvi. Iweje currency yetu ni Tsh. na Rais apokee mshahara wake kwa $ acheni uzushi wenye mrengo wa upendeleo fulani.
 
Hawana haja ya kusema kwa kuwa wanajua Rais anajilipa anavyotaka, mlisahau Ben alichukua milioni 500 kama mkopo na akairudisha siku inayofuata
 
Wana JF leo napenda kuwakilisha hoja ya kutaka serikali na mashirika ya umma au yale ambamo serikali ina hisa nyingi itangaze/watangazie walipa kodi wa nchi hii mishahara na marupu rupu wanayowalipa hao mawaziri; makatibu wa Kuu na CEO's wa mashirika ya umma ili sis walala hoi tujue kwani ndo tunakamuliwa.
 
Wana JF leo napenda kuwakilisha hoja ya kutaka serikali na mashirika ya umma au yale ambamo serikali ina hisa nyingi itangaze/watangazie walipa kodi wa nchi hii mishahara na marupu rupu wanayowalipa hao mawaziri; makatibu wa Kuu na CEO's wa mashirika ya umma ili sis walala hoi tujue kwani ndo tunakamuliwa.

Never on this Earth!!
 
Wana JF leo napenda kuwakilisha hoja ya kutaka serikali na mashirika ya umma au yale ambamo serikali ina hisa nyingi itangaze/watangazie walipa kodi wa nchi hii mishahara na marupu rupu wanayowalipa hao mawaziri; makatibu wa Kuu na CEO's wa mashirika ya umma ili sis walala hoi tujue kwani ndo tunakamuliwa.
Hiyo ngumu ndugu yangu
 
Kwa Bongo hata ukiambiwa utatajiwa kitu cha uongo. Mshahara halisi utachakachuliwa weeee, balance utakayotajiwa lazima iwe fake.
 
Nakumbuka miaka fulani ya nyuma ilikuwa laki 8 kwa ngazi ya mkurugenzi
 
Kama mbunge na marupurupu (posho) anapiga milioni kumi, maana yake waziri anapiga mara tano ya hizo!!
 
Back
Top Bottom