mpasuajipu99
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 678
- 120
Kujua Mishahara haitusaidii sana inatakiwa tujue walificha mabilioni uswisi na tuweze kuyarejesha nchini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kujua Mishahara haitusaidii sana inatakiwa tujue walificha mabilioni uswisi na tuweze kuyarejesha nchini
kwani itasaidia nini ukijuwa mishahara yao, wenzetu ulaya na marekani wanajuwa ya viongozi wao lakini wao hawategemei mishahara wanategemea network yao ya biashara, hawa wa kwetu wanategemea mishahara, sasa wewe itakusaidia nini kujuwa japokuwa inatokana na kodi zetu, mimi ningependa kwanza kujuwa mshahara wako
Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.
Na mshahara wa makamu wa raisi..?
Waziri mkuu..?
Spika wa bunge..?
Mkuu wa majeshi ya ulinzi, polisi,magereza..?
Jaji mkuu..?
Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
Niliona hapa, kama sikosei kwenye topic moja kuhusu mkapa, mdau moja alisema mshahara wa rais ni $12,000 kwa mwezi.
Kama nimekosea naomba nirekebishwe
mshahara ni siri ya mwajiri na mwajiriwa ova.
Inatusaidi nini kujua ?
Nakumbuka kuna wakati Mwalimu alijipunguza mshahara kutoka shilingi 4000 hadi 2000 kwa mwezi! Tukijadili kinadharia hivi kuna ubaya gani hii mishahara (na mingine inayolipwa kwa kodi ya wananchi)ikiwa wazi? Au kuna faida gani ikiwa wazi?
Jamani kuna mtu anayejua mshahara wa raisi wa Tanzania ni kiasi gani? Kuna mtu kaniambia ni $200,000 na kitu kwa mwaka...sikuamini lakini akanihakikishia kuwa taarifa zake ni za uhakika. Bado ninasita kuamini ingawaje sina taarifa zozote na sijawahi kuona mahala popote pale kuhusu mshahara wa raisi.
Kama kuna mtu anayejua...ni wapi tunaweza kupata taarifa hizi?
Leo rais Kikwete analipwa mshahara na masurufu yake milioni 47.8, wakati kima cha chini cha mshahara wa mfanyakazi wa umma ni 180,000,
Mwezi wa saba mwaka huu 2013 kuliibuka mgogoro idara ya uratibu na maslahi ya rais baadhi wakitaka mshahara wa rais na masurufu yake upandishwe hadi milioni 60,