Misiba bado ina nguvu sana Afrika

Misiba bado ina nguvu sana Afrika

😁lakini nilipata mualiko kwenye kikao cha kikoba muhimu cha wale mabeberu wakuu wanaotugaia maokoto. Mnisamehe waungwana napenda kuwapa pole sana natumai mazishi yalienda salama.
Tatizo unapenda sana ndege na shopping. Ulichekecha kipindi unapewa taarifa za msiba kabla hujakwea pipa, ukaona huwezi kuacha shopping ukaangalie vifusi.

Maana kwa akili za kuchangia chochote chenye tija tunajua huna. Kwako kila kitu kipo scripted.
 
Mimi hiyo Mil 700 ningeongezea mil 300 ikafika bil moja then nikawapa waathirika wa kariakoo .

Kuliko kuipa Timu ambayo tayari ipo na facilities zote .

Maana kinachoendelea hadi sasa ni kukosa vipaumbele.
 
Mimi hiyo Mil 700 ningeongezea mil 300 ikafika bil moja then nikawapa waathirika wa kariakoo .

Kuliko kuipa Timu ambayo tayari ipo na facilities zote .

Maana kinachoendelea hadi sasa ni kukosa vipaumbele.
Kupanga ni kuchagua...hakuna jambo baya kama kupangiwa... Na kuchaguliwa....
 
Tatizo unapenda sana ndege na shopping. Ulichekecha kipindi unapewa taarifa za msiba kabla hujakwea pipa, ukaona huwezi kuacha shopping ukaangalie vifusi.

Maana kwa akili za kuchangia chochote chenye tija tunajua huna. Kwako kila kitu kipo scripted.
Ni kweli nilijua mtaongea tu hata nikifanya nini ndio binadamu tulivyo ila kikubwa manywele si amesimamia zoezi vizuri. Nilimpa na washauri wangu wakaweka kambi kabisa kusimamia kazi.
 
Ni kweli nilijua mtaongea tu hata nikifanya nini ndio binadamu tulivyo ila kikubwa manywele si amesimamia zoezi vizuri. Nilimpa na washauri wangu wakaweka kambi kabisa kusimamia kazi.
Washauri wako waliweka kambi ila sio kusimamia bali kuuza sura na kunywa Malta chini ya mahema. Manyewele kama kawaida yake alikuwa anapiga porojo nyingi kuliko vitendo.
 
Slowly this is dying out. Inaweza ikachukua muda, lakini inakuja: Kwa vipi?
1. Kuna makampuni ya kuzika yananzishwa. Hutahitaji watu kuja msibani. Ndugu wa karibu ndio watakuwa kwenye msiba na maziko yanafanywa na ndugu hao hao, technical staff wakiwa kampuni za mazishi i.e kuchimba Kaburi, kufukia and all that is necessary for that business! (Western World wako hapa, hakuna mkusanyiko wa mtaa/kijiji etc kwenye mazishi).
Wengi wangependa kufanya kama hapo No.1 lkini fedha bado kikwazo....... lakini everybody is inclined to that route...it is a matter of time!

(ni kama ushoga, tunaupiga vita sana tena sana, but our kizazi hiki cha bongo fleva, wako inclined to that! Wasanii wanachexa UCHI kwenye stage na sasa jamii inaanza kuwakubali as "NORMAL" muziki)
(ni kama ushoga, tunaupiga vita sana tena sana, but our kizazi hiki cha bongo fleva, wako inclined to that! Wasanii wanachexa UCHI kwenye stage na sasa jamii inaanza kuwakubali as "NORMAL" muziki)🙇🏿‍♂🙇🏿‍♂🙇🏿‍♂
 
Kijana Seba aliyeandika message kwa rafiki yake amtunzie mwanae na anakata roho siku mbili zilizopita.

1732254002610.jpg

Mwili wake umeopolewa mda huu ukiwa tayari umeshaanza kuaribika kwenye jengo la Kariakoo.. Tayari mwili wake umepelekwa kwenye hospitali ya Amana kwa kwa taratibu nyingine za kuhustili..Roho ya marehemu ipumzike mahara pema peponi 😭😭 Inasikitisha sana jamani Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
downloadfile-2.jpg
💔🙏
 
Back
Top Bottom