Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Zama za leo ni tofauti kabisa na zama za mababu zetu. Ukisoma vitabu vya dini utagundua kuwa mazishi hayakuhitaji hata majeneza. Mfano Lazaro inaonesha alizikwa tu na sanda pasi na jeneza.
Leo hii watu wanashindana hadi kwenye gharama za majeneza. Hivi kwanini basi majeneza yote yasiwe yenye ubora unaolingana ili kuondoa hii tofauti?
Mtu akipata msiba anawaza namna gani aufanye msiba huo uwe wa kifahari! Na wakati mwingine marehemu alikosa msaada wa tiba bora; na huenda ndio hasa chanzo cha kifo chake!
Leo hii watu wanashindana hadi kwenye gharama za majeneza. Hivi kwanini basi majeneza yote yasiwe yenye ubora unaolingana ili kuondoa hii tofauti?
Mtu akipata msiba anawaza namna gani aufanye msiba huo uwe wa kifahari! Na wakati mwingine marehemu alikosa msaada wa tiba bora; na huenda ndio hasa chanzo cha kifo chake!