Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Nitakupa binamu yangu sawa mkuu dda zangi wote wameolewaAahhaaaaa,Tandale ipi mkuu,Beobeo,Ringo La Kuni au Chama
Nimeisji Tandale 1994-2001,nimesoma Makurumla/Mwembechai shule ya Msingi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakupa binamu yangu sawa mkuu dda zangi wote wameolewaAahhaaaaa,Tandale ipi mkuu,Beobeo,Ringo La Kuni au Chama
Nimeisji Tandale 1994-2001,nimesoma Makurumla/Mwembechai shule ya Msingi
Too little too late,ahaaaaaaNitakupa binamu yangu sawa mkuu dda zangi wote wameolewa
Vyema, nilidhani ni mmoja wa vijana wangu fulani hapa Dar.Hapana mkuu,nimeishi Bukoba maeneo ya Izimbya
Poa mkuuVyema, nilidhani ni mmoja wa vijana wangu fulani hapa Dar.
Uwe asubuhi njema mkuu.
Huku Kwa Wakristo Kila kitu ni shida,kiufupi Mimi nitajitahidi kupunguza gharama kadiri inavyowezekana maana kukaa siku nyingi na maiti haibadili kitu Wacha maisha yaendeleeZama za leo ni tofauti kabisa na zama za mababu zetu. Ukisoma vitabu vya dini utagundua kuwa mazishi hayakuhitaji hata majeneza. Mfano Lazaro inaonesha alizikwa tu na sanda pasi na jeneza.
Leo hii watu wanashindana hadi kwenye gharama za majeneza. Hivi kwanini basi majeneza yote yasiwe yenye ubora unaolingana ili kuondoa hii tofauti?
Mtu akipata msiba anawaza namna gani aufanye msiba huo uwe wa kifahari! Na wakati mwingine marehemu alikosa msaada wa tiba bora; na huenda ndio hasa chanzo cha kifo chake!
Na hata wakila, na chakula kisipokuwa na kasoro lakini kisipotosha, bado watalalamika tena [emoji23][emoji23]Na hata wakila, chakula kikiwa na kasoro wanalalamika.
Ndio binadamu sisi tulivyo.
Sasa jumuiya si ndio kila kitu. Maana jumuiya ndiko kwenye full michango ya kila kituUwongo, kuhusu Padri kutokuja ni kama ulikua hau udhurii jumuiya.
Jamaniiiii kahhhBufee lazima liwepo. Na Kama huna kitu hata padre hakanyagi utazikwa Kama Mzoga na walevi tu