Misiba mingi ya Wakristo ina gharama kubwa kuliko wengine

Misiba mingi ya Wakristo ina gharama kubwa kuliko wengine

Zama za leo ni tofauti kabisa na zama za mababu zetu. Ukisoma vitabu vya dini utagundua kuwa mazishi hayakuhitaji hata majeneza. Mfano Lazaro inaonesha alizikwa tu na sanda pasi na jeneza.

Leo hii watu wanashindana hadi kwenye gharama za majeneza. Hivi kwanini basi majeneza yote yasiwe yenye ubora unaolingana ili kuondoa hii tofauti?

Mtu akipata msiba anawaza namna gani aufanye msiba huo uwe wa kifahari! Na wakati mwingine marehemu alikosa msaada wa tiba bora; na huenda ndio hasa chanzo cha kifo chake!
Huku Kwa Wakristo Kila kitu ni shida,kiufupi Mimi nitajitahidi kupunguza gharama kadiri inavyowezekana maana kukaa siku nyingi na maiti haibadili kitu Wacha maisha yaendelee
 
Na hata wakila, chakula kikiwa na kasoro wanalalamika.
Ndio binadamu sisi tulivyo.
Na hata wakila, na chakula kisipokuwa na kasoro lakini kisipotosha, bado watalalamika tena [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom