Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Tafuta hela ukifa tule ubwabwa tena kuwe na buffer na maji ya kilimanjaroHaifuti ukweli,misiba ya Kikiristo ninya kufuja Hela
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tafuta hela ukifa tule ubwabwa tena kuwe na buffer na maji ya kilimanjaroHaifuti ukweli,misiba ya Kikiristo ninya kufuja Hela
Miye mkristo jina,nilishawaambia ndugu nikifa wanichome moto,majivu yangu wayazike kushoto lilipo kaburi la mama yangu,wamekataaTafuta hela ukifa tule ubwabwa tena kuwe na buffer na maji ya kilimanjaro
Uwaambie sasa ndugu zako wasiache kunipa taarifa mapema siku moja kabla a kifo chakoMiye mkristo jina,nilishawaambia ndugu nikifa wanichome moto,majibu yangu wayazike kushoto lipo kaburi la mama yangu,wamekataa
Nikifa we njoo ule buffet
Usijari, Mpwayungu Village atakupa taarifa,na hivi ana njaa ya Hela nadhani atapita na hela zangu zote za rambirambiUwaambie sasa ndugu zako wasiache kunipa taarifa mapema siku moja kabla a kifo chako
Sasa usichelewe sana kufa 🤣🤣Usijari, Mpwayungu Village atakupa taarifa,na hivi ana njaa ya Hela nadhani atapita na hela zangu zote za rambirambi
Aahaaaaaa
Aahaaaaaa mpka nifikishe miaka 110Sasa usichelewe sana kufa 🤣🤣
Wewe si nitakufa nikakuacha wwAahaaaaaa mpka nifikishe miaka 110
Aahaaaa ndo vizuri Ili nimrithi mkeoWewe si nitakufa nikakuacha ww
Sijao na sina mpango labda urithi nyetoAahaaaa ndo vizuri Ili nimrithi mkeo
Nyeto Haina mrthi,hakuna mwanaume rijali ambaye hanyetukiSijao na sina mpango labda urithi nyeto
Uwongo, kuhusu Padri kutokuja ni kama ulikua hau udhurii jumuiya.Bufee lazima liwepo. Na Kama huna kitu hata padre hakanyagi utazikwa Kama Mzoga na walevi tu
Ahahahah utarithi basi kikombeNyeto Haina mrthi,hakuna mwanaume rijali ambaye hanyetuki
Mkuu samahani, nje ya mada mkuuu,we ni akina Taslima wa Bukoba vijijini!?Uwongo, kuhusu Padri kutokuja ni kama ulikua hau udhurii jumuiya.
Usisahau wale jamaa wanao tembea na ndizi kwenye kanzu katika misibamisiba imekuwa kama sherehe fulani hivi. Anyway ishakuwa kama utamaduni uliozoeleka. Unakuta watu wamejaa kumbe wengine wanapata wasaa wa kupata mlo tofauti kwa siku
Aahaaaaa,dada anatosha,nipe hata dada Yako,Kwa mwandiko wako nahisi we utakuwa handsome boy Fulani hivi wa kishua,na wakishua mara nyingi wanakuwaga na dada WazuriAhahahah utarithi basi kikombe
Ahahahahha wakishua which? Nakaa tandale mzeeAahaaaaa,dada anatosha,nipe hata dada Yako,Kwa mwandiko wako nahisi we utakuwa handsome boy Fulani hivi wa kishua,na wakishua mara nyingi wanakuwaga na dada Wazuri
MAra nyingi matajiri wa kiume huoa wake wazuri na hivyo hupata mbegu nzuri za watoto
Hapana, Ila tuna fahamiana vyema... je wewe ni Kilimba ulie kulia Shinyanga?Mkuu samahani, nje ya mada mkuuu,we ni akina Taslima wa Bukoba vijijini!?
Bora hao,waislamu pamoja na madhaifu yao ya kiimani ila ni watu Fulani simpo sana,ndo maana hata maisha yao siyo ya presha Wala msipongo wa mawazoUsisahau wale jamaa wanao tembea na ndizi kwenye kanzu katika misiba
Aahhaaaaa,Tandale ipi mkuu,Beobeo,Ringo La Kuni au ChamaAhahahahha wakishua which? Nakaa tandale mzee
Hapana mkuu,nimeishi Bukoba maeneo ya IzimbyaHapana, Ila tuna fahamiana vyema... je wewe ni Kilimba ulie kulia Shinyanga?
Ingawa kwenu kiasili ni Singida?