Anawasikiliza la Saba 😊😊😄
Tangu mipolisi ya Ukraine kuwabagua waafrika, nimebadili mawazo na kuhamia Russia... Putin piga hayo majamaa... Piga ua takataka hizo...
Mimi ndio yule aliyeshika bomu la nuclearKwenye picha pale wewe ndiye yule uliyekenua zaidi?
Wakati wewe ukiendelea kutumia nguvu kuubwa kuwatetea waUkraine, maelfu ya waAfrika wenzako waliopo Ukraine walia na kulalamikia ubaguzi unaofanywa na mamlaka za Ukraine kwa kuwazuia waAfrika weusi mpakani wasivuke kwenda nchi za jirani kupata hifadhi. Ila waUkraine, wahindi, waarabu na mataifa mengine waruhusiwa kupita mpakaniVita vyote huwa mwonevu na mwonewa.
Hata hivyo pana wimbi la mashabiki pia...
Mimi ndio yule aliyeshika bomu la nuclear
Wakati wewe ukiendelea kutumia nguvu kuubwa kuwatetea waUkraine, waAfrika wenzako waliopo Ukraine walia na kulalamikia ubaguzi unaofanywa na mamlaka za Ukraine kwa kuwazuia waAfrika weusi mpakani wasivuke kwenda nchi za jirani kupata hifadhi...
Pakuanzia ni hapa alipoanzia Colonel Macgregor wa jeshi la Marekani.Pa kuanzia kulaani kwenye kadhia hii ni wapi?
Kwenye ubaguzi huu leo kwenye kujiokoa kumkimbia fedhuli au kwenye kumkomalia fedhuli kuacha kufurusha watu?
Pole sana Afrika kwa kupishana na misingi mizima ya haki.
Full kutapa tapa tu? Looh!
Wakishabikia NATO wa buza mnakaa kimya hamsemi, ila wakishabikia Warusi wa Tandale mnasema"acheni ushabiki watu wanakufa huko",watu kufa wanakufa tu Dunia nzima, Africa ya kati,Msumbiji,Rohingya,Popua Guinei na kwengineko kote uko kuna mauwaji ya kutisha.
Pakuanzia ni hapa alipoanzia Colonel Macgregor wa jeshi la Marekani.
Colonel Douglas Macgregor, afisa mstaafu wa jeshi la Marekani anasema Marekani ina nafasi ya kuepusha vita na Putin (Russia). Jambo la kwanza wanalopaswa kufanya Wamarekani ni kukiri na kukubaliana na nukta ya msingi ya Putin (Russia), ambayo serekali ya Russia imeiweka wazi kwa zaidi ya miaka 25 sasa. Nukta yenyewe ni kuwa Russia hawataki majeshi ya Marekani, mizinga ya Marekani, na majeshi ya NATO kwenye mpaka wake na Ukraine (Mashariki ya Ukraine kwenye majimbo yaliyotangazwa huru na Putin).
Colonel Douglas akaendelea kusema: Kiukweli kabisa hata sisi Wamarekani hatukuyataka majeshi ya Russia na mizinga yake ndani ya Cuba, Putin naye hataki mambo hayo mashariki mwa Ukraine. Lazima tukubali madai hayo. Tuache kujifanyisha kuwa madai hayo hayana maana (ni ya kipuuzi).
===
Col. Macgregor: Biden refused to acknowledge what's important to Putin, now he has to watch the invasion
Retired US Army Col. Douglas Macgregor told "Tucker Carlson Tonight" that he was concerned President Biden didn't take Putin seriously enough.www.foxnews.com
COL. DOUGLAS MACGREGOR: Let me just reiterate something. I, like you and millions of Americans, would prefer that the troops headed to Eastern Europe right now were headed to the Mexican border. But I’m also very concerned that we find a way to avoid a conflict with Russia. The first thing we have to do is acknowledge that Putin’s basic point, not just his point, the Russian government’s point, which they’ve made for 25 years, is valid. They don’t want U.S. forces and missiles and NATO troops immediately across the border in eastern Ukraine. Absolutely. We didn’t want them in Cuba, he doesn’t want them in eastern Ukraine. We should acknowledge that. Stop pretending it’s a nonissue. It is a major issue for them. Let’s acknowledge it and then let’s get down to business and tell them fine, our concern at this point is we don’t want you to proceed west towards the polish border over the Dnieper River in Ukraine.
Sina muda wa kujiangalia kwenye kioo. Kujiangalia kwenye kioo ni kazi ya warembo
Sina muda wa kujiangalia kwenye kioo. Kujiangalia kwenye kioo ni kazi ya warembo
we ni la ngpAnawasikiliza la Saba 😊😊😄
acha ushabikiTangu mipolisi ya Ukraine ianze kuwabagua waafrika, nimebadili mawazo na kuhamia Russia... Putin piga hayo majamaa... Piga ua takataka hizo...