Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaha inawezekana mkuu ila roho nyeusi ni kuonyesha tu kuwa ni ubaya wetu na roho mbaya
Mimi ni mmoja wapo ,Ukraine achapwe,ili liwe fundisho kwa wengine wenye uroho wa vipesa na offer kutoka US !!
Mimi ni mmoja wapo ,Ukraine achapwe,ili liwe fundisho kwa wengine wenye uroho wa vipesa na offer kutoka US !!
kama hawaelewi ,watulie zipigwe kwanza wataeleweshwa baadae!Urusi warusi hawaelewi kulikoni hii vita ila wewe:
Wananchi walio wengi Urusi wasema hawaelewi Russia inapigania nini Ukraine wanaoelewa ni Putin na wanajeshi wake tu
Wala hujishangai.
Uko vizuri.
kama hawaelewi ,watulie zipigwe kwanza wataeleweshwa baadae!
Watashangaa TU vuu bin vuu Jua halionekani kumbe tayari NYUKLIA imeshapigwa Sehemu na RADIATIO WINTER imeshatanda angani na kuzuia mwanga wa Jua kuonekana. Mwanga wa jua usipoonekana,means mimea itashindwa kujitengenezea Chakula chake kupitia PHOTOSYNTHESIS na Mimea yote Kufa ndani ya siku 7. Baada ya mimea Kufa,Kiwango Cha Oxygen kitashuka mpaka 0% ndani ya Masaa 16. Baada ya Oxygen kukosekana,Basi Wanyama wakimemo binadamu wataanza Kufa kwa kukosa Oxygen. Matajiri wakubwa watatumia ARTIFICIAL OXYGEN iliyoko kwenye mitungi ili waendelee kuishi. Hata hivyo ndani ya miezi 3 watakuwa wote kwa kukosa Chakula na Saratani zinazotokana na Mionzi ya Nyuklia.huku niliko walaa hawajui kama kuna ugomvi wa kivita kati ya Ukrane na Urusi... watu wanapiga kazi kujitafutia chochote cha kuendesha maisha yao
Watashangaa TU vuu bin vuu Jua halionekani kumbe tayari NYUKLIA imeshapigwa Sehemu na RADIATIO WINTER imeshatanda angani na kuzuia mwanga wa Jua kuonekana. Mwanga wa jua usipoonekana,means mimea itashindwa kujitengenezea Chakula chake kupitia PHOTOSYNTHESIS na Mimea yote Kufa ndani ya siku 7. Baada ya mimea Kufa,Kiwango Cha Oxygen kitashuka mpaka 0% ndani ya Masaa 16. Baada ya Oxygen kukosekana,Basi Wanyama wakimemo binadamu wataanza Kufa kwa kukosa Oxygen. Matajiri wakubwa watatumia ARTIFICIAL OXYGEN iliyoko kwenye mitungi ili waendelee kuishi. Hata hivyo ndani ya miezi 3 watakuwa wote kwa kukosa Chakula na Saratani zinazotokana na Mionzi ya Nyuklia.
Magufuli tu alibagua watu wa kutoka ukanda fulani lakini watu sampuli yako hamkusema kitu. Watanzania kwa unafiki hamjambo.Tangu mipolisi ya Ukraine ianze kuwabagua waafrika, nimebadili mawazo na kuhamia Russia... Putin piga hayo majamaa... Piga ua takataka hizo...
Sasa huyo anayepiga nyuklia yeye atakuwa amepata faida gani? Hata hivyo Mungu alisema hakuna binadamu atakayeweza kuharibu dunia aliyoumba yeye kwa hiyo hivyo vita vya nyuklia ni porojo tu na vitisho vya kipuuzi.Watashangaa TU vuu bin vuu Jua halionekani kumbe tayari NYUKLIA imeshapigwa Sehemu na RADIATIO WINTER imeshatanda angani na kuzuia mwanga wa Jua kuonekana. Mwanga wa jua usipoonekana,means mimea itashindwa kujitengenezea Chakula chake kupitia PHOTOSYNTHESIS na Mimea yote Kufa ndani ya siku 7. Baada ya mimea Kufa,Kiwango Cha Oxygen kitashuka mpaka 0% ndani ya Masaa 16. Baada ya Oxygen kukosekana,Basi Wanyama wakimemo binadamu wataanza Kufa kwa kukosa Oxygen. Matajiri wakubwa watatumia ARTIFICIAL OXYGEN iliyoko kwenye mitungi ili waendelee kuishi. Hata hivyo ndani ya miezi 3 watakuwa wote kwa kukosa Chakula na Saratani zinazotokana na Mionzi ya Nyuklia.
Pro-Russia wanasema eti Russia Hana Cha kupoteza. Hivi mtu wa hivi Kuna haja ya kuendelea kujibishana naye? Mtu pekee ambaye Hana Cha kupoteza ni MAITI Full Stop.Sasa huyo anayepiga nyuklia yeye atakuwa amepata faida gani? Hata hivyo Mungu alisema hakuna binadamu atakayeweza kuharibu dunia aliyoumba yeye kwa hiyo hivyo vita vya nyuklia ni porojo tu na vitisho vya kipuuzi.
Askari wanakufa kila siku na kule nyumbani uchumi unaporomoka pia kila uchao, watasemaje eti hawana cha kupoteza, hao watakuwa ni warusi wa Mbagala Kizuiani.Pro-Russia wanasema eti Russia Hana Cha kupoteza. Hivi mtu wa hivi Kuna haja ya kuendelea kujibishana naye? Mtu pekee ambaye Hana Cha kupoteza ni MAITI Full Stop.