Misimamo ya Waafrika na Vita vya Ukraine

Misimamo ya Waafrika na Vita vya Ukraine

huwezi kuwa na msimamo wakati wewe ni TEGEMEZI MKUBWA
 
huwezi kuwa na msimamo wakati wewe ni TEGEMEZI MKUBWA

IMG_20220303_102530_977.jpg
 
kama hawaelewi ,watulie zipigwe kwanza wataeleweshwa baadae!

Uielewe vita vya warusi kuliko warusi wenyewe? Hiyo si ndiyo tafsiri ya uchawi yenyewe sasa.

Utakuwa mwanga fulani tu wewe.
 
huku niliko walaa hawajui kama kuna ugomvi wa kivita kati ya Ukrane na Urusi... watu wanapiga kazi kujitafutia chochote cha kuendesha maisha yao
Watashangaa TU vuu bin vuu Jua halionekani kumbe tayari NYUKLIA imeshapigwa Sehemu na RADIATIO WINTER imeshatanda angani na kuzuia mwanga wa Jua kuonekana. Mwanga wa jua usipoonekana,means mimea itashindwa kujitengenezea Chakula chake kupitia PHOTOSYNTHESIS na Mimea yote Kufa ndani ya siku 7. Baada ya mimea Kufa,Kiwango Cha Oxygen kitashuka mpaka 0% ndani ya Masaa 16. Baada ya Oxygen kukosekana,Basi Wanyama wakimemo binadamu wataanza Kufa kwa kukosa Oxygen. Matajiri wakubwa watatumia ARTIFICIAL OXYGEN iliyoko kwenye mitungi ili waendelee kuishi. Hata hivyo ndani ya miezi 3 watakuwa wote kwa kukosa Chakula na Saratani zinazotokana na Mionzi ya Nyuklia.
 
Watashangaa TU vuu bin vuu Jua halionekani kumbe tayari NYUKLIA imeshapigwa Sehemu na RADIATIO WINTER imeshatanda angani na kuzuia mwanga wa Jua kuonekana. Mwanga wa jua usipoonekana,means mimea itashindwa kujitengenezea Chakula chake kupitia PHOTOSYNTHESIS na Mimea yote Kufa ndani ya siku 7. Baada ya mimea Kufa,Kiwango Cha Oxygen kitashuka mpaka 0% ndani ya Masaa 16. Baada ya Oxygen kukosekana,Basi Wanyama wakimemo binadamu wataanza Kufa kwa kukosa Oxygen. Matajiri wakubwa watatumia ARTIFICIAL OXYGEN iliyoko kwenye mitungi ili waendelee kuishi. Hata hivyo ndani ya miezi 3 watakuwa wote kwa kukosa Chakula na Saratani zinazotokana na Mionzi ya Nyuklia.

kipara20 anasema yeye yuko vizuri, na anashangaa mno kuona kwanini Putin anayachelewesha hivi makombora haya ya mfano... .😂😂?!

Hiiiiii bagosha!
 
Tangu mipolisi ya Ukraine ianze kuwabagua waafrika, nimebadili mawazo na kuhamia Russia... Putin piga hayo majamaa... Piga ua takataka hizo...
Magufuli tu alibagua watu wa kutoka ukanda fulani lakini watu sampuli yako hamkusema kitu. Watanzania kwa unafiki hamjambo.
 
Watashangaa TU vuu bin vuu Jua halionekani kumbe tayari NYUKLIA imeshapigwa Sehemu na RADIATIO WINTER imeshatanda angani na kuzuia mwanga wa Jua kuonekana. Mwanga wa jua usipoonekana,means mimea itashindwa kujitengenezea Chakula chake kupitia PHOTOSYNTHESIS na Mimea yote Kufa ndani ya siku 7. Baada ya mimea Kufa,Kiwango Cha Oxygen kitashuka mpaka 0% ndani ya Masaa 16. Baada ya Oxygen kukosekana,Basi Wanyama wakimemo binadamu wataanza Kufa kwa kukosa Oxygen. Matajiri wakubwa watatumia ARTIFICIAL OXYGEN iliyoko kwenye mitungi ili waendelee kuishi. Hata hivyo ndani ya miezi 3 watakuwa wote kwa kukosa Chakula na Saratani zinazotokana na Mionzi ya Nyuklia.
Sasa huyo anayepiga nyuklia yeye atakuwa amepata faida gani? Hata hivyo Mungu alisema hakuna binadamu atakayeweza kuharibu dunia aliyoumba yeye kwa hiyo hivyo vita vya nyuklia ni porojo tu na vitisho vya kipuuzi.
 
Sasa huyo anayepiga nyuklia yeye atakuwa amepata faida gani? Hata hivyo Mungu alisema hakuna binadamu atakayeweza kuharibu dunia aliyoumba yeye kwa hiyo hivyo vita vya nyuklia ni porojo tu na vitisho vya kipuuzi.
Pro-Russia wanasema eti Russia Hana Cha kupoteza. Hivi mtu wa hivi Kuna haja ya kuendelea kujibishana naye? Mtu pekee ambaye Hana Cha kupoteza ni MAITI Full Stop.
 
Pro-Russia wanasema eti Russia Hana Cha kupoteza. Hivi mtu wa hivi Kuna haja ya kuendelea kujibishana naye? Mtu pekee ambaye Hana Cha kupoteza ni MAITI Full Stop.
Askari wanakufa kila siku na kule nyumbani uchumi unaporomoka pia kila uchao, watasemaje eti hawana cha kupoteza, hao watakuwa ni warusi wa Mbagala Kizuiani.
 
Back
Top Bottom