Misimamo ya Waafrika na Vita vya Ukraine

Misimamo ya Waafrika na Vita vya Ukraine

20220301_201909.jpg

20220301_201907.jpg
 
 
Claire Moor, another Black student, was pushed down as she tried to board a train at Lviv’s train station. The guard insisted that only women could take the train. The officer looked away, Moor said, as she pointed out that she was, indeed, a woman. “I was shocked because I did not know the extent of the racism,” she added.
 
Vita vyote huwa mwonevu na mwonewa.

Hata hivyo pana wimbi la mashabiki pia.

Kwanini waafrika tunatokea kukenua mno bila kusimamia misingi ya haki wala kuzingatia madhara?

Hata hivyo nisiache kutambua mchango wa Kenya na Afrika Kusini kwenye kumkemea hadharani, mbabe huyu wa vita bwana Vladimir Putin.

View attachment 2136173

Waache unafiki wakati Libya sirya afaghanistani iraq zinavamiwa na kuuwa mamilioni ya watu wasio na hatia walikuwa wap,
 
Waache unafiki wakati Libya sirya afaghanistani iraq zinavamiwa na kuuwa mamilioni ya watu wasio na hatia walikuwa wap,

Tangu lini makosa mawili yakahalalisha moja?
 
Vita vyote huwa mwonevu na mwonewa.

Hata hivyo pana wimbi la mashabiki pia.

Kwanini waafrika tunatokea kukenua mno bila kusimamia misingi ya haki wala kuzingatia madhara?

Hata hivyo nisiache kutambua mchango wa Kenya na Afrika Kusini kwenye kumkemea hadharani, mbabe huyu wa vita bwana Vladimir Putin.

View attachment 2136173
Afrika siyo chochote kwenye siasa za dunia hii.
 
Wakati wewe ukiendelea kutumia nguvu kuubwa kuwatetea waUkraine, maelfu ya waAfrika wenzako waliopo Ukraine walia na kulalamikia ubaguzi unaofanywa na mamlaka za Ukraine kwa kuwazuia waAfrika weusi mpakani wasivuke kwenda nchi za jirani kupata hifadhi. Ila waUkraine, wahindi, waarabu na mataifa mengine waruhusiwa kupita mpakani

=====


View attachment 2136182
View attachment 2136187
Kwanin usiongeze juhudi za kupambana na serikali zenu za kipuuzi za Afrika kuboresha mazingira mazuri ili raia wake wasikimbilie kwenye mataifa ya watu kupata huduma bora za kijamii.
 
Waafrika sisi tuna roho mbaya sana kuliko mataifa mengi na continents zingine
Nasema hivi kwa sababu katika vita wenzetu wanasaidiana kwa hali na mali pindi mmoja anapopata matatizo

Angalia Ukrainians wanavyopokelewa na Poland na mataifa mengine na huo ndio undugu na umoja

UK wanaanza kuwaandalia wakimbizi kuja kuishi na mpaka wanawaza kuhusu watoto watakao kuja kusoma wataenda shule zipi

Sisi Waethiopia au Wasomali wakikamatwa yaani mapolisi watawapiga picha na kuwafanya kama wahalifu na habari inawekwa kwenye tv huku mkuu wao akipiga nao picha kama kashika madawa ya kukevya

Hawaishii hapo mpaka hela zao watanyang’anywa na kinyimwa haki zao za msingi kabisa

Hatuna ubinadamu na sasa wengi wanafurahia watu wafe

Serikali haina msimamo na wananchi wanakuwa wabaya pia ila kama serikali Ina msimamo wa haki za binadamu na kuwasaidia ndugu zetu waafrika tungepata akili tofauti na za kwetu ambazo zimeganda
Huo uchunguzi uliufanyia hapa hapa nyuma ya keyboard au ulizunguka duniani kote?
 
Serikali za Afrika zote ni wanafiki wapo nyuma ya nchi za Magharibi, lkn wananchi wa Afrika asilimia tisini wanaiunga mkono Urusi, natamani Urusi atangaze offer kwa wananchi wa Afrika kwenda kuipigana Ukraine wakiwa chini ya Urusi, naamini waafrika wengi sana watajitokeza kupambana na warusi kwa ajili ya kuondoa ubabe wa magharibi
 
Huo uchunguzi uliufanyia hapa hapa nyuma ya keyboard au ulizunguka duniani kote?

Huo uchunguzi uliufanyia hapa hapa nyuma ya keyboard au ulizunguka duniani kote?

Uchunguzi upi tena
Na kwanini uhisi tu kuwa niko hapo unapowaza wewe?
Kwa taarifa yako nimetembea sana dunia hii na nafikiri wewe ndio hujatoka nje ya nchi

Anyway Bojo amesema leo kuwa watapokea wakimbizi Laki 2 wa Ukraine na nyie wafungeni Ethiopians

Acheni dhulma wakimbizi hao ni ndugu zetu
 
Back
Top Bottom