Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo hakuwezi kuwepo usawa.
Halafu nichukue nini?acha ushabiki
JerseyHalafu nichukue nini?
Vita vyote huwa mwonevu na mwonewa.
Hata hivyo pana wimbi la mashabiki pia.
Kwanini waafrika tunatokea kukenua mno bila kusimamia misingi ya haki wala kuzingatia madhara?
Hata hivyo nisiache kutambua mchango wa Kenya na Afrika Kusini kwenye kumkemea hadharani, mbabe huyu wa vita bwana Vladimir Putin.
View attachment 2136173
Waache unafiki wakati Libya sirya afaghanistani iraq zinavamiwa na kuuwa mamilioni ya watu wasio na hatia walikuwa wap,
Afrika siyo chochote kwenye siasa za dunia hii.Vita vyote huwa mwonevu na mwonewa.
Hata hivyo pana wimbi la mashabiki pia.
Kwanini waafrika tunatokea kukenua mno bila kusimamia misingi ya haki wala kuzingatia madhara?
Hata hivyo nisiache kutambua mchango wa Kenya na Afrika Kusini kwenye kumkemea hadharani, mbabe huyu wa vita bwana Vladimir Putin.
View attachment 2136173
Tangu lini makosa mawili yakahalalisha moja?
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kwenye picha pale wewe ndiye yule uliyekenua zaidi?
Kwanin usiongeze juhudi za kupambana na serikali zenu za kipuuzi za Afrika kuboresha mazingira mazuri ili raia wake wasikimbilie kwenye mataifa ya watu kupata huduma bora za kijamii.Wakati wewe ukiendelea kutumia nguvu kuubwa kuwatetea waUkraine, maelfu ya waAfrika wenzako waliopo Ukraine walia na kulalamikia ubaguzi unaofanywa na mamlaka za Ukraine kwa kuwazuia waAfrika weusi mpakani wasivuke kwenda nchi za jirani kupata hifadhi. Ila waUkraine, wahindi, waarabu na mataifa mengine waruhusiwa kupita mpakani
=====
![]()
'Open the door or we die': Africans report racism and hostility trying to flee Ukraine
Thousands of African immigrants joining throngs of Ukrainians trying to flee the country say they face red tape and discrimination.www.nbcnews.com
View attachment 2136182
View attachment 2136187
kwaiyo walisubiri kosa la pili ndio wakemee
Huo uchunguzi uliufanyia hapa hapa nyuma ya keyboard au ulizunguka duniani kote?Waafrika sisi tuna roho mbaya sana kuliko mataifa mengi na continents zingine
Nasema hivi kwa sababu katika vita wenzetu wanasaidiana kwa hali na mali pindi mmoja anapopata matatizo
Angalia Ukrainians wanavyopokelewa na Poland na mataifa mengine na huo ndio undugu na umoja
UK wanaanza kuwaandalia wakimbizi kuja kuishi na mpaka wanawaza kuhusu watoto watakao kuja kusoma wataenda shule zipi
Sisi Waethiopia au Wasomali wakikamatwa yaani mapolisi watawapiga picha na kuwafanya kama wahalifu na habari inawekwa kwenye tv huku mkuu wao akipiga nao picha kama kashika madawa ya kukevya
Hawaishii hapo mpaka hela zao watanyang’anywa na kinyimwa haki zao za msingi kabisa
Hatuna ubinadamu na sasa wengi wanafurahia watu wafe
Serikali haina msimamo na wananchi wanakuwa wabaya pia ila kama serikali Ina msimamo wa haki za binadamu na kuwasaidia ndugu zetu waafrika tungepata akili tofauti na za kwetu ambazo zimeganda
Akikujibu nikumbushekwaiyo walisubiri kosa la pili ndio wakemee
Kwamba hatimaye wamekemea inakukera mno ila wacha wafe watoto hata kama hawana hatia kwanza?
Huo uchunguzi uliufanyia hapa hapa nyuma ya keyboard au ulizunguka duniani kote?
Huo uchunguzi uliufanyia hapa hapa nyuma ya keyboard au ulizunguka duniani kote?