Misimamo ya Waafrika na Vita vya Ukraine

Misimamo ya Waafrika na Vita vya Ukraine

Huo uchunguzi uliufanyia hapa hapa nyuma ya keyboard au ulizunguka duniani kote?

Kwani hata inahitaji uchunguzi?

Uliwahi kuyasikia majina haya:

Jiwe, Mugabe, Quarter Pin, PK, Mnangagwa, Sirro, Kingai, Mahita na wenzao?

Au kujitoa ufahamu tu?
 
Kwani hata inahitaji uchunguzi?

Uliwahi kuyasikia majina haya:

Jiwe, Mugabe, Quarter Pin, PK, Mnangagwa, Sirro, Kingai, Mahita na wenzao?

Au kujitoa ufahamu tu?

Huyu ni mmoja wa wale uhamiaji wanaowanyang’anya wakimbizi hela zao achana nae
 
Uchunguzi upi tena
Na kwanini uhisi tu kuwa niko hapo unapowaza wewe?
Kwa taarifa yako nimetembea sana dunia hii na nafikiri wewe ndio hujatoka nje ya nchi

Anyway Bojo amesema leo kuwa watapokea wakimbizi Laki 2 wa Ukraine na nyie wafungeni Ethiopians

Acheni dhulma wakimbizi hao ni ndugu zetu
Sawa kama wewe pekee ndiye umetembea nnje ya nchi na sisi wengine hatujawahi kuishi nnje ya nchi.
 
Huyu ni mmoja wa wale uhamiaji wanaowanyang’anya wakimbizi hela zao achana nae
Keyboard warrior bhana, yani wewe ndiwe uliyetembea nnje ya nchi pekeyako, pia ndiwe ujuaye kazi za wengine hapa JF, ni TZ pekee ambapo hupatikana vituko hivi [emoji2]
 
Keyboard warrior bhana, yani wewe ndiwe uliyetembea nnje ya nchi pekeyako, pia ndiwe ujuaye kazi za wengine hapa JF, ni TZ pekee ambapo hupatikana vituko hivi [emoji2]

Inaonekana wewe ni mtoto mdogo au kubwa jinga
Nani kakuambia nimetembea peke yangu humu mbona unakurupuka na kunilisha maneno

Kwanza kutembea kumeletwa na nini katika comment yangu
Na kama unanijaribu kutaka kujua kama nimetembea ndio nimetembea sana tena nchi 32 to be precisely

Ila ukweli utabaki hapo hapo na hao waethiopia uliowaibia hela zao wengi nawaona Park Royal na Uxbridge wakidunda sasa jiulize wamefikaje huku wakati uliwanyang’anya hela zote

Acheni dhulma na njaa zenu
 
Keyboard warrior bhana, yani wewe ndiwe uliyetembea nnje ya nchi pekeyako, pia ndiwe ujuaye kazi za wengine hapa JF, ni TZ pekee ambapo hupatikana vituko hivi [emoji2]

Hili neno keyboard warrior umejifunzia humu ama maana sioni mantiki yake na limetumika kwa vipi
Naona unajifunza maneno ila yatumie kwa wakati wake
Dogo inaonekana una aina ya ushamba na una shida mahali
 
Mmeiona misimamo ya nchi za Afrika kwenye azimio la UNGA?

Ni Eritrea pekeyake ndiyo iliyoiunga mkono Urusi. Wengine wamegoma kupiga kura, huku wengi wakisapoti azimio.

Wengine hawajiamini na misimamo yao! Maana wakiwa katika nchi zao, wanapinga uvamizi, lakini wakienda katika vikao vya jumuiya za kimataifa, wanapiga chenga!
 
Acha tupambane
JamiiForums2019673828.jpg


Sent from my SM-A022F using JamiiForums mobile app
 
Waafrika sisi tuna roho mbaya sana kuliko mataifa mengi na continents zingine
Nasema hivi kwa sababu katika vita wenzetu wanasaidiana kwa hali na mali pindi mmoja anapopata matatizo

Angalia Ukrainians wanavyopokelewa na Poland na mataifa mengine na huo ndio undugu na umoja

UK wanaanza kuwaandalia wakimbizi kuja kuishi na mpaka wanawaza kuhusu watoto watakao kuja kusoma wataenda shule zipi

Sisi Waethiopia au Wasomali wakikamatwa yaani mapolisi watawapiga picha na kuwafanya kama wahalifu na habari inawekwa kwenye tv huku mkuu wao akipiga nao picha kama kashika madawa ya kukevya

Hawaishii hapo mpaka hela zao watanyang’anywa na kinyimwa haki zao za msingi kabisa

Hatuna ubinadamu na sasa wengi wanafurahia watu wafe

Serikali haina msimamo na wananchi wanakuwa wabaya pia ila kama serikali Ina msimamo wa haki za binadamu na kuwasaidia ndugu zetu waafrika tungepata akili tofauti na za kwetu ambazo zimeganda

Kuna mtu niliwahi kumsikia akisema "Mtu mweusi na roho yake nyeusi" hii imekaaje lakini?😁😁
 
Kuna mtu niliwahi kumsikia akisema "Mtu mweusi na roho yake nyeusi" hii imekaaje lakini?[emoji16][emoji16]

Hahahaaha inawezekana mkuu ila roho nyeusi ni kuonyesha tu kuwa ni ubaya wetu na roho mbaya
 
Russia watwangeni tu hao wa Ukraine [emoji4][emoji4] sisi africa tuna shida zetu kibao U. T. I , malaria, ukimwi na corona vinatutosha hatutaki stress zaidi sisi
 
Tangu mipolisi ya Ukraine ianze kuwabagua waafrika, nimebadili mawazo na kuhamia Russia... Putin piga hayo majamaa... Piga ua takataka hizo...
Hv unaujua ubaguz wahuko russia ww, nikwamba wew mweusi hakuna akupendae tujijali wenyewe

Sent from my DRA-LX2 using JamiiForums mobile app
 
Mmeiona misimamo ya nchi za Afrika kwenye azimio la UNGA?

Ni Eritrea pekeyake ndiyo iliyoiunga mkono Urusi. Wengine wamegoma kupiga kura, huku wengi wakisapoti azimio.

Wengine hawajiamini na misimamo yao! Maana wakiwa katika nchi zao, wanapinga uvamizi, lakini wakienda katika vikao vya jumuiya za kimataifa, wanapiga chenga!

Ngoja ma kina Interlacustrine E na mamburumundu myenzao yakenue kwanza. Kwani madhara ya lolote yanawahusu?

Hiiiiii bagosha!
 
Waafrika sisi tuna roho mbaya sana kuliko mataifa mengi na continents zingine
Nasema hivi kwa sababu katika vita wenzetu wanasaidiana kwa hali na mali pindi mmoja anapopata matatizo

Angalia Ukrainians wanavyopokelewa na Poland na mataifa mengine na huo ndio undugu na umoja

UK wanaanza kuwaandalia wakimbizi kuja kuishi na mpaka wanawaza kuhusu watoto watakao kuja kusoma wataenda shule zipi

Sisi Waethiopia au Wasomali wakikamatwa yaani mapolisi watawapiga picha na kuwafanya kama wahalifu na habari inawekwa kwenye tv huku mkuu wao akipiga nao picha kama kashika madawa ya kulevya

Hawaishii hapo mpaka hela zao watanyang’anywa na kinyimwa haki zao za msingi kabisa

Hatuna ubinadamu na sasa wengi wanafurahia watu wafe

Serikali haina msimamo na wananchi wanakuwa wabaya pia ila kama serikali Ina msimamo wa haki za binadamu na kuwasaidia ndugu zetu waafrika tungepata akili tofauti na za kwetu ambazo zimeganda
Kuna tofauti kubwa kati ya mkimbizi na muhamiaji haramu, hao wa Ukraine ni wakimbizi lakini wa Ethiopia ni wahamihaji haramu na wengi wao wanapita kuelekea kusini mwa afrika. Kuna taratibu za kufata kama si mkimbizi, usipozifata utakamatwa na kuwajibishwa kwa mujibu wa sheria za nchi husika. Hata huko Ulaya tunaona na kusikia kila siku wanavyokamatwa wahiaji haramu.
 
Back
Top Bottom