Misingi, itikadi za dini na mabomu ya kujitoa mhanga

Inaonesha imani zao za dini wazungu hazina athari kwenye maisha yao na tamaduni zao na ndiyo maana wanaendana nazo bila tabu yeyote,hivyo inaonekana uislamu ndio tishio la tamaduni zao wazungu walizozizoea.


Tatizo la vijana ama waumini wengi wa kiislam ni wepesi sana wa kukopi vitu bila hata kufikiri. Mtume Mohammed alikuwa anayafanya haya karne ya 6, analazimisha watu wamuite 'Mtume' na wakikataa anawaua kisha anabaka wake zao. Na sasa vijana wa kiislam wanayafanya yale yale, wakiona mtu aendani na Imani yao wanajilipua mabomu ili kuwaua.
 
😂😂😂😂 umenifanya nicheke hapo kwenye "uislamu unaweza kujitanua na kuweza kujenga himaya au dola kubwa duniani katika kipindi kijacho" hivi unajua dini yenye wafuasi wengi duniani na dini inayokuwa kwa ksi zaidi duniani? Hebu fuatilia inaonekana haujui unacho kiandika 😂😂
 
Well said
 
Umemaliza kila kitu mkuu ila bado kuna vichwa vigumu
 
Ungeweka na ushahidi wapi mtume alilazimisha mtu kuingia kwenye uislamu na wapi alibaka wake zao?
 
Bandari salama ni nini?
 
Killing is part and percel of their religion..
Angalizo: Sijataja dini ya mtu
 
Mwandishi huko alikocopy na wewe mwenyewe wala dunia nzima hata hao wamarekani wameshindwa kutoa definition ya ugaidi. Gaidi ni nani? Ugaidi ni nini? Dunia hii ya leo ukiwa unatetea haki yako unakuwa listed ni gaidi. Kama ulikua hujui....Nelson Mandela ameshawahi kuwekwa kwenye list ya magaidi kwa matendo yake yale ya kupiga ubaguzi wa rangi na kutetea uhuru.

Tukichambua ugaidi kwa matendo.....basi George Bush, Obama, Tony Blair, Emmanuel Macron et al wote ni magaidi. Anti Balaka ni magaidi, na wale wanaoshambulia wenzao Rohingya Myanmar nao ni magaidi.

Ulichokiandika hapo ni kuhusianisha Uislam na Ugaidi na hiyo ni western propaganda. Magaidi wapo dunia nzima. Na Uislam sio ugaidi.

Kuna kitu hukijua katika ulimwengu wa leo. Usiandike usivyovijua.
 
Mie nimependa hiyo definition Mpya ya ugaidi.

Mie awali nilijua ugaidi ni kuua Mtu Au kuhujumu mali bila ya Haki Kumbe ipo specific.
Hiyo sio definition ya ugaidi. Mpaka hakuna definition ya ugaidi. Hakuna.
 
Najua
Kati ya watu wa duniani.
33% ni Wakristo ambao idadi yao ni karibu Bilioni 2.3
Hapo 50% ni RC.
21% ni Waslamu ambao ni idadi ya 1.5 billion people.
Wahindi wako 13% ya population ya dunia.
Sasa kikichokufanya hadi ucheke ni kitu gani ?
Funguka mkuu.
 
Kama hawako wazi ndio ujue wana ajenda zao na wala hawapo pale kidini.
 
Kuna tofauti kati ya kuweka sheria na kufata sheria unazoweka mwenyewe..Mtu anayesema anatetea wanyonge ndo huyo huyo ambaye anaweza kuwa mnyanyasaji mkuu.
Uislamu una sheria zake na si hayo mangorongonjo hapo juu wala si hayo ambayo magaidi wanayafanya [kama ni kweli wanafanya mnayosema],ukidhulumiwa ilhali unayo njia sahihi ya kuzuia hiyo dhulma na ukakaa kimya hata wewe uliyedhulumiwa upo makosani.mtu akikuvamia nyumbani kwako kukudhuru basi ni wajibu wako kupambana nae hata akipatwa na baya gani lililotokana na uvamizi wake huna hatia...
 
Ndiyo maana nikasema unatumia hisia mkuu,et kwamba magaidi adui wao wa kwanza ni wakristo! Inaonesha mkuu nawe una chuki za kidini,watu wanabutua mabomu kwenye mikusanyiko ya watu wenye imani tofauti halafu wewe unakuja kusema adui yao mkuu wakristo.

Yani umeshindwa kusema kila mpenda amani ni adui wa hao magaidi matokeo unaanza kugawa watu kiimani kwamba et adui wao ni mkristo,imani zengine na waislamu wenye kuwapinga.
 
Hayo mambo yameanza kwenye biblia kasome visa vya mitume kwenye biblia utakutana na mambo kama hayo yamefanywa na mitume.
 
Hii mada unatakiwa uitazame kwa umakini wake hasa ktk misingi ya imani inayoujenga uislam au ukristo. Huwa najiuliza hawa wanaoitwa magaidi wanatumia kitabu gani nikakuta ni kurani hiyohiyo labda wanapishana tafsiri au mmoja wao ameamua kuwa passive ili aendane na jamii ya kisasa inayomzunguka.
Hapa ninapoandika hii post natizama documentary ya TO THE BELIEVERS inayoelezea shekhe Maulana Abdul Aziz na misikiti yake ya Red Mosques. Siyo movie ni documentary na mahojiano aliyoyafanya ukipata muda uitazame unaweza pata kitu ktk mada hii
 
Mbona marekani hashighulikii haya makundi??
Mkuu nyumba ya pili wakila dagaa siyo lazima na wewe ule dagaa. Hatuwezi kuilazimisha nchi yyte kuingilia ugomvi bila ridhaa yake. Vita inahitaji vyanzo vingi vya mapato kuendesha.
 
Kuna mungu mmoja hivi,yeye anapenda kuona watu wakikata wenzao viungo Kwa sababu ya mabomu ya kujitoa mhanga.
Pia amewaaidia watu wake kuwa ukijilipua basi peponi unapewa vimwana bikila wanajaa basi la Abood,Sasa wanajilipua kama hawana akili vile.
 
MKUU tukio la gharisa likifanya jamaa angu mmoja wa miaka mingi tukakosana. Mimi nilipost article ktk group la wasap ilielezea tukio lilivyotokea. Habari hiyo ilikuwa inaelezwa na almanusura wa kiislam amabye hakupendezwa na lile tukio la gharisa. Jamaa akanifuata Inbox kuwa kwanini na post vile. Nikamwambia thts what happened aisee alijisikia vibaya sana yaani pamoja ni msomi mzuri, muislam mzuri lakini hakupata amani kuona taarifa ile inawafikia au watu wajue kilichotokea.
Kumbuka huyu hakupenda lakini je anaweza ku argue aya kwa aya na wanaofanya hayo na kuwa prove wrong...sidhani kama anaweza. Since then hatukuwa kama zamani ktk urafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…