Mfyuu uhasibu wa zawadi za mshindi au uhasibu wa kura?
Labda kama kuna zawadi za Vitu na sio helaWa zawadi za mshindi.
Labda kama kuna zawadi za Vitu na sio hela
Ushindwe na uhasibu wakoZawadi ni za hela tu, lasivyo sitaki uhasibu.
Ushindwe na uhasibu wako
Hahaha me mbona sijajihesabia hata na hii nyota yangu ya kukatwa wee. Ila nimegoma tu kuwa usiwe mhasibu periodWe na hugo guchogo hutoshinda so usiwe na wasiwasi.
Hahaha me mbona sijajihesabia hata na hii nyota yangu ya kukatwa wee. Ila nimegoma tu kuwa usiwe mhasibu period
Teh imekucost, nishakukata zamaniNashukuru Mungu kwenye jopo la wakataji haumo, aimeeen!
hahahahaSasa were utakuwa model ma?na bicycle ni zoezi tosha
nipo pamoja nawe... zawadi za pesa ziwepo lakini
Salaaaale kazi ipo hapa,pesa kwanza hakuna mashindano ya volunteer
Hahaha me mbona sijajihesabia hata na hii nyota yangu ya kukatwa wee. Ila nimegoma tu kuwa usiwe mhasibu period
usiniangushe banah... kura zangu kumi tiari unazo bado zile za kuchakachua pale nkiwa judge
Tatizo vigezo na Masharti lazima vizingatiweusiniangushe banah... kura zangu kumi tiari unazo bado zile za kuchakachua pale nkiwa judge
Hata yeye ni mume wa mtu mweetaratibu mkuu huyu ni mke wa Mtu
taratibu mkuu huyu ni mke wa Mtu
Hakishindikani kitu nkisimamia show... we jiandae kubeba taji tu hilo 😊Tatizo vigezo na Masharti lazima vizingatiwe
Hahha bora umensaidia... sumu dawa yake maziwaHata yeye ni mume wa mtu mwee