Pa-Paa
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 916
- 1,363
Chukua mkono huo 👍Hata mimi nimemchagua mideko kwasababu ya uzi wa jambazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chukua mkono huo 👍Hata mimi nimemchagua mideko kwasababu ya uzi wa jambazi
Huyu ndo mrembo kwangu zaid
Mkuu mtu hawezi kuficha uhalisia wake kwa muda mrefu.Nitakua mtu wa mwisho kuamini uku Jf kuna warembo ID nyingi zenye majina ya kike zinaendeshwa na wanaume na hizo chache ambazo ni wanawake kweli bc ni wale sura ya baba 😂
Piga kura wewe acha longo longo zako kijana😂Napita pita kuangalia maendeleo ya zoezi zima
Mie nilijuaga huyu ni dume 🤣🤣🤣🤣Numbisa ndo mrembo wangu….umepata kura yangu mrembo
Aisee 😂Oya mzazi hapa mwanangu umenikumbusha wakati Niko Chuo 😂nilichukua Namba ya demu Facebook bas Sauti yake mtoto ilikua kali kichizi oya babu siku nakutananae live nilikimbia mzee
Niwaone kwanza, humu Kuna Pini ni full package utadhani zimejiumba zenyewe na hazipo hapo Sasa ya nini nipigie kura mwanaume mwenye jina la kikePiga kura wewe acha longo longo zako kijana😂
Taja hizo pini niongee na mods wapandishwe majina yao Kwenye list ya candidatesNiwaone kwanza, humu Kuna Pini ni full package utadhani zimejiumba zenyewe na hazipo hapo Sasa ya nini nipigie kura mwanaume mwenye jina la kike
Hiyo ni kazi nyingine, mda mwingine katiza katiza kule selfika utanishukuru baadaeTaja hizo pini niongee na mods wapandishwe majina yao Kwenye list ya candidates
Hapana asiniweke waliokuwepo wanatosha tuvote tu😄😄😄
Reactions/Threads/Replies zako zinakufanya uonekane ni Malikia kwenye huu ulimwengu uitwao jamiiforums. Sitoweza ku cast a vote bila jina lako kuwepo hapo kwenye hio list.
Unamaanisha nipitie ule Uzi wa selfika na JFHiyo ni kazi nyingine, mda mwingine katiza katiza kule selfika utanishukuru baadae
Waniylize 2009KIJANA WA KIKE UWEZ MKUTA INTERNATIONAL FORUM ANACHAMBUA AD ZA RUSSIA NA HYPERSONIC MISSILES ZA IRAN, USDANGANYKE NA MIANDKO NA WENGNE WANAUME HAPO PIA WANAJFANYA MABINT