Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Miss Reds Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kazi anayo, Umri wake utata mtupu

Dah kitu kimepikwa hiki yaani mimi mwenyewe leo na miaka 20 ndio naingia mwaka wa3 bachelor of pharmacy..Huyo 18yrs masters holder dah inakatisha tamaa mkuu.

Hiyo ni tz unaweza usisome kabisa ukaju tu "come here", "what is your name" ukawa muhadhiri mkuu, hayo yapo
 
Mimi ni mdau wa elimu,naomba kujifunza kitu hapa.

Miss Tanzania wa mwaka 2014 Sitti Abbas Mtemvu anadai ana umri wa miaka 18 na ana elimu ya shahada ya uzamili (Masters).

Jaman kwa namna ipi na kivipi inakuaje nisaidieni.Inachukua miaka 18 mtu kupata masters.Ina maana alianza shule na miaka 0, hata kama kasoma ulaya naomba kueleweshwa hapa kidogo.



MISS TANZANIA 2014 SITTI MTEMVU ANA MIAKA 23 NA SIO 18
Katibu wa kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa amesema kuwa mshindi wa Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu amezaliwa mei 31 mwaka 1991 na umri wake sahihi ni miaka 23 na sio miaka 18 kama ilivyozagaa sehemu mbalimbali.
Katibu huyo aliongeza kuwa Sitti ana shahada ya ya uhusiano wa kimataifa na alimaliza masomo yake Desemba mwaka jana katika chuo kikuu cha North Texas kilichoko kwenye jiji la Dallas nchini Marekani.
Sitti Mtemvu bado hajasoma ngazi ya shahada ya uzamili (Masters) kwa sasa ila anatarajiwa kwenda kusoma ngazi hiyo huko nchini Marekani
 
''MISS TANZANIA 2014 SITTI MTEMVU ANA MIAKA 23 NA SIO 18

Katibu wa kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa amesema kuwa mshindi wa Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu amezaliwa mei 31 mwaka 1991 na umri wake sahihi ni miaka 23 na sio miaka 18 kama ilivyozagaa sehemu mbalimbali.
Katibu huyo aliongeza kuwa Sitti ana shahada ya ya uhusiano wa kimataifa na alimaliza masomo yake Desemba mwaka jana katika chuo kikuu cha North Texas kilichoko kwenye jiji la Dallas nchini Marekani.
Sitti Mtemvu bado hajasoma ngazi ya shahada ya uzamili (Masters) kwa sasa ila anatarajiwa kwenda kusoma ngazi hiyo huko nchini Marekani'' Misho wa kunukuu
 
MISS TANZANIA 2014 SITTI MTEMVU ANA MIAKA 23 NA SIO 18
Katibu wa kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa amesema kuwa mshindi wa Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu amezaliwa mei 31 mwaka 1991 na umri wake sahihi ni miaka 23 na sio miaka 18 kama ilivyozagaa sehemu mbalimbali.
Katibu huyo aliongeza kuwa Sitti ana shahada ya ya uhusiano wa kimataifa na alimaliza masomo yake Desemba mwaka jana katika chuo kikuu cha North Texas kilichoko kwenye jiji la Dallas nchini Marekani.
Sitti Mtemvu bado hajasoma ngazi ya shahada ya uzamili (Masters) kwa sasa ila anatarajiwa kwenda kusoma ngazi hiyo huko nchini Marekani

huyo katibu anabishana na passport pamoja na baba yake?
 
31may 1989 ni miaka 24??

1413461152087.jpg
 
Nilishasema ukiona jambo lolote lina harufu ya ccm,jambo hilo weka mbali na watoto..! Hapa mimi sisogelei kabisa mashindano yote ya urembo,siangalii tbc-ccm wala kusikiliza radio clouds na hii radio mpya efm nimegundua nayo ni ya wachumia tumbo na ina harufu ya ccm nayo nimeshaweka mbali na watoto.
 
''MISS TANZANIA 2014 SITTI MTEMVU ANA MIAKA 23 NA SIO 18

Katibu wa kamati ya Miss Tanzania Bosco Majaliwa amesema kuwa mshindi wa Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu amezaliwa mei 31 mwaka 1991 na umri wake sahihi ni miaka 23 na sio miaka 18 kama ilivyozagaa sehemu mbalimbali.
Katibu huyo aliongeza kuwa Sitti ana shahada ya ya uhusiano wa kimataifa na alimaliza masomo yake Desemba mwaka jana katika chuo kikuu cha North Texas kilichoko kwenye jiji la Dallas nchini Marekani.
Sitti Mtemvu bado hajasoma ngazi ya shahada ya uzamili (Masters) kwa sasa ila anatarajiwa kwenda kusoma ngazi hiyo huko nchini Marekani'' Misho wa kunukuu

Wanazidi kulikoroga na hiyo passport inayoonekana kazaliwa 1989.......!!!
 
Mimi ni mdau wa elimu,naomba kujifunza kitu hapa.

Miss Tanzania wa mwaka 2014 Sitti Abbas Mtemvu anadai ana umri wa miaka 18 na ana elimu ya shahada ya uzamili (Masters).

Jaman kwa namna ipi na kivipi inakuaje nisaidieni.Inachukua miaka 18 mtu kupata masters.Ina maana alianza shule na miaka 0, hata kama kasoma ulaya naomba kueleweshwa hapa kidogo.


Ni swali tu kwa kweli: Hivi huko kwenye mashindano yao wanataka miaka mwisho mingapi? Kama hajaivuka mwacheni achukue kwa amani. I hate mashindano hayo!
 
Speech ya kwanza ya huyu Miss mara baada ya kupata umiss ilinipa maswali(Alisema anatoa pongezi kwa wazazi"BABA" kwa kumsapoti sana),lakini nae BABA akasema kuwa binti yake sasa ataendesha MTEMVU FOUNDATION.Kibaya zaidi nikimuangalia mshindi wa 2 alivyomzidi namba 1 nikapata majibu ya kilichofanyika.
 
Nadhan hakufanya b`day kwa miaka kadhaa ndo maana umri umecmama hpo katika 18
 
ushahidi mwingine huu hapa,ana mtoto(amekiuka masharti) ,pili umri wa mtoto its about 8 years..... so alizaa wakati ana miaka 10?plus MASTERS....ama kweli haya ndo maajabu ya Uncle Lundenga under the influence of Mzee Mtemvu

10624704_10204097147404434_6586498244981592760_n.jpg
 
Back
Top Bottom