Sosthenes Maendeleo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 2,724
- 1,693
Dah kitu kimepikwa hiki yaani mimi mwenyewe leo na miaka 20 ndio naingia mwaka wa3 bachelor of pharmacy..Huyo 18yrs masters holder dah inakatisha tamaa mkuu.
Hiyo ni tz unaweza usisome kabisa ukaju tu "come here", "what is your name" ukawa muhadhiri mkuu, hayo yapo
