Mistake kubwa ya Yanga leo ni kumuanzisha Abuya. Duke ni small games player hana hiyo quality. In short hajui

reference zipo chini nyingi tu
 
Duh! Ni Abuya huyu wa Yanga au wa ndondo cup unayemzungumzia mkuu!
angalia mpira tena. this time mwangalie abuya tu.
kumbuka ni International player kama pacome, BOKA, yao, aziz.
angalia decision making yake.

he is not the quality of yanga.
 
Mbona kwa hasira hivi mkuu...Hahah!
 
Mfano Inonga Vs mayele.
Inonga alionekanaga beki kisiki kisa kumkaba mayele.... badaae imebaki stori
 
trust me they are better
Ni ku trust vipi wakati nimeshawaona uwanjani? Niku trust wewe au ni trust nachoona uwanjani kuhusu uwezo wao? Sureboy na Farid ni wachezaji wa game ndogo ndogo
 
Kuna watu wengine mliletwa hapa duniani kwa lengo la kuwa walalamishi tu. Nothing more!
 
Abuya ni bonge la mchezaji na majukumu yake aliyatimiza vile ilivyotakiwa
 
wewe ukocha ulisomea wapi?au umebanwa kuhara?
 
Nadhani una hoja nzuri za kumjibu mleta mada, ila zinajificha kwa kuwa unazichanganya na personal attacks dhidi ya mleta uzi
 
Huwezi kingereza,hujui Mpira unachezwa vipi..bila abuya na Max Jana Aucho na umri ule angekufa,Abuya anakwenda Mpira ulipo,max anaokota , anagawa upendo,Aucho anatuliza ball ,pasi fupi fupi..ku ditect temple ya mchezo.. wachezaji wa Simba Wana mwendo sana, kama tusingekua na viungo watatu,tungekufa Mapema

Abuya mchezaji mzuri Sana tatizo nililoona kwake ni kama kiungo wa Manchester united Maino,muda mwingi Hayupo katika eneo lake la msingi tukikutwa kwenye shambulizi la ghafla he's no where to be found..
 
Wao Simba waendelee kutumia Maria Debooo Deboraaaaa.... Watuache na Abuya ...si kila timu imesajili Kwa mahitaji yake.... Tusipangiane ...
 
Acha siasa he is a bad player. match ya kaizer he lost the most possession. he is back pass minded.

he makes aziz ki a terrible player. in short pale yanga swala la muda tu watamtema
Nyie mmetema wangapiii....abaki milele yeye ni Mwanachama !?? Ficha ujinga wako mara Moja Moja....
 
Wewe jamaa nyuzi zako nyingi ni za kuivuruga Yanga, msimu uliopita ukakomaa na Gamondi afukuzwe mwisho wa siku ukaambulia patupu.
Safari umekuja na Abuya eti "it's time we bench him in big games. Halafu wasiojua mpira wenzio wakakusapoti.

Build up ya goli imefanywa na Abuya kwa zaidi ya asilimia 70.

* Mpira ulianza ulianza kwa kurushiwa Aucho kisha Aucho akampa Abuya (touch yake ya kwanza)

* Abuya akakokota mpira kwenda mbele kisha akampasia Boka, wakati huo huo *Abuya akaji position kuuomba tena mpira kutoka kwa Boka kisha Boka akampa tena (touch yake ya pili)

Baada ya kupewa mpira hakuwa na mambo mengi akaangalia mbele akamuona Pacome, akampa Pacome kisha akajiposition tena kuiomba, Pacome akampa tena Abuya ( touch yake ya tatu)

* Abuya akaisogeza tena kwa pembeni kumpasia Boka baada ya kumuona Boka anakimbia kwenye njia.

*Boka akampa Maxi, Abuya akasogea kwenye njia kuomba mpira kwa Maxi, kisha Maxi akampa tena Abuya ( touch yake ya nne)

* Abuya akamalizia kwa Pacome ambaye akapigana moja na mbili na Maxi kisha Maxi akamgongea Dube na Dube akamrejea Max na kuifanya Yanga itangulie goli moja.
Embu enjoy show ya Abuya hii hapa.
 

Attachments

  • w0iLxsSfm-I-lPcr.mp4
    1.7 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…