Mistari katikati ya barabara inatumikaje kisheria?

Mistari katikati ya barabara inatumikaje kisheria?

#1 yenye lane moja hiyo huwezi kumpita mwenzio (no overtaking)

#2 unaweza kuwapita wenye punda au farasi au waendesha baiskeli ili mradi ni wenye speed isiyozidi 10 mile per hour

#3 Unaweza ku overtake kama unaona hakuna hatari yoyote
Marufuku kusimama hapo tafuta sehemu salama zaidi

#4 Hapo inakutahadharisha kuwa njia inaachana na kwenda kuingia njia nyingine ni Carriageway

#5 Ukiona Alama hizi ujue kuna Private drive karibu au shamba au nyumba za watu zipo hapo kwa hiyo uwe na tahadhari usije ukakutana na [emoji609]

#6 Single Yellow lane
Hapo ni njia mbili, gari zinapishana ila unaweza ku overtake kama ni safe

#7 Double Yellow lane
Hapo marufuku ku overtake kabisa

Kama nimefeli nipe marks zangu nilizopata nisepe [emoji1]
 
Nami nichangie kidogo, no 1&2 huruhusiwi ku overtake, to make a U turn, drive on the line, na no 2 inakazia hayo niliyoyasema,kwenye double barrier ni eneo hatarishi zaidi mfano kitonga pass, no 3 driver anayeface bahari huruhusiwi to overtake, to do U turn na kuendesha kuvuka msitari huo,ILA anayeendesha kutoka upande wa bahari ana uwezo wa ku ovatake,4&5 unaweza ku overtake kwa pande zote mbili, do U turn if it's safe to do so, 6&7 ni kama 1&2 yellow color imetumika kurahisisha visibility hasa kwenye bad weather
 
Nilisoma short course ya driving pale veta, kwa picha namba moja na mbili ni kwamba hakuna kuovertake.

Picha namba tatu, wa kushoto hakuna kuovertake wa kulia kwenye mistari ya doti unaweza overtake.

Picha namba nne na tano wa kushoto au kulia anaruhusiwa kuovertake.

Picha namba sita na saba hapo karo na muda wangu wa kusoma darasani uliishia hapo, nawasubiria tanroad na tarura wanipe maana ya hiyo mistari ya utopolo.
Asante kujazia nyama, na kweli TATURA waje kufafanua hiyo yellow
 
#1 yenye lane moja hiyo huwezi kumpita mwenzio (no overtaking)

#2 unaweza kuwapita wenye punda au farasi au waendesha baiskeli ili mradi ni wenye speed isiyozidi 10 mile per hour

#3 Unaweza ku overtake kama unaona hakuna hatari yoyote
Marufuku kusimama hapo tafuta sehemu salama zaidi

#4 Hapo inakutahadharisha kuwa njia inaachana na kwenda kuingia njia nyingine ni Carriageway

#5 Ukiona Alama hizi ujue kuna Private drive karibu au shamba au nyumba za watu zipo hapo kwa hiyo uwe na tahadhari usije ukakutana na [emoji609]

#6 Single Yellow lane
Hapo ni njia mbili, gari zinapishana ila unaweza ku overtake kama ni safe

#7 Double Yellow lane
Hapo marufuku ku overtake kabisa

Kama nimefeli nipe marks zangu nilizopata nisepe [emoji1]
Duu hizi mambo sema nilibadilisha career sema ningezitapika Kama nahara. Hii Ni part ya transportation engineering. Kuna part moja imo ndani inaitwa traffic Engineering. Ndipo unapomkuta traffic Engineer anatunga Sheria za road anaweka alama ili kumaneji traffic movement baadaye ndipo Kuna traffic police ili asimamie hizo laws or rules za traffic rules management. Yaani Ile spidi unapiga hesabu mpaka unajua kuwa kutokana na hii road environment inatakiwa iwe ngapi. Sasa wewe zidisha ndipo utajua why aliyeumba road akaweka rules uzifuate Ila ukajifanya mjanja ndio ujue kama wewe unajua zaidi ama la.
Kama ambavyo Mungu akaumba mwili wako akakupa utaratibu wa kuishi Mana wewe una utambuzi semaa bado unajifanya mjanja Leo hii binadamu unazaa kwa opereshenj na huku mnyama hujawahi muona anazaa kwa operasheni ama dume akampandia dume mwenzake kisa tu oestrogen zimekuwa nyingi kuzidi testerone. Binadamu sie tuna akili mno kuzidi wanyamaa ama wanyama Wana akili kutuzidi.
 
#1 yenye lane moja hiyo huwezi kumpita mwenzio (no overtaking)

#2 unaweza kuwapita wenye punda au farasi au waendesha baiskeli ili mradi ni wenye speed isiyozidi 10 mile per hour

#3 Unaweza ku overtake kama unaona hakuna hatari yoyote
Marufuku kusimama hapo tafuta sehemu salama zaidi

#4 Hapo inakutahadharisha kuwa njia inaachana na kwenda kuingia njia nyingine ni Carriageway

#5 Ukiona Alama hizi ujue kuna Private drive karibu au shamba au nyumba za watu zipo hapo kwa hiyo uwe na tahadhari usije ukakutana na [emoji609]

#6 Single Yellow lane
Hapo ni njia mbili, gari zinapishana ila unaweza ku overtake kama ni safe

#7 Double Yellow lane
Hapo marufuku ku overtake kabisa

Kama nimefeli nipe marks zangu nilizopata nisepe [emoji1]
👏👏👏
 
Tuanze na hii picha namba moja.

View attachment 2393134
Mstari mmoja mweupe solid katikati ya barabara maana yake hauruhusiwi ku-overtake. Si ndio hivo wakuu ama?

Je, mistari ikiwa double. Kama picha namba mbili hapa chini?

Tofauti na namba moja iko vipi?

View attachment 2393116


Tuendelee...
Kuna sehemu mstari mmoja solid, mwingine dashed. Kama namba tatu hapa chini.

View attachment 2393118
Maana yake nini hapa, kwamba ni ruhusa ku-overtake? Siwezi kupigwa faini eeeh?

Anyway, hapo hapo kwenye dashed line, hii mistari nayo inakuaga aina mbili.

Kuna mmoja unakua "long dashed" kama picha namba nne hapa chini.

View attachment 2393123

Hiyo ina tofauti gani kimatumizi na "short dashed" line kama hii namba tano!

View attachment 2393125

Mwisho kabisa, I'm just curious...

Hivi tofauti ya colour kwenye mistari ina matter sana? Mfano badala ya "single white solid line" ukute ni mistari wa njano kama hizi picha namba sita na saba:

View attachment 2393127
View attachment 2393129
Zina tofauti gani na zile moja na mbili pale juu!
1666356878276.png

Aliyeupande wa mstari mzito haruhusiwi ku overtake. Aliye upande wa dotted line anaruhusiwa kuovertake ikiwa ni salama
 
1666357039510.png

Pande zote mnaruhusiwa kuovertake ikiwa ni salama. Lazima uone aghalau mita 100 mbele ili uovertake kwa usalama
 
Hii siyo Tanzania. Kwa Tanzania, mistari ya njano ipo kushoto-pembezoni mwa barabara kuonyesha mwisho wa barabara.

Kwa Tanzania, mistari mweupe huchorwa katikati ya barabara

Tanzania haiko hivyo ila matumizi ni sawa.Hapo Ke njano ni kati na nyeupe ni pembeni
 
Back
Top Bottom