Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HakikaNi halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake
Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?
Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri
Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Embu jiulize hapo watu hawana uhakika anarudi au harudi na wamekusanyika kwa wingi hivo, na vitisho vyote vya vyombo vya dola. Sasa siku akitua airport hali itakuwaje???Sasa hiyo mistari miwili ndo ya kuleta uzi kwa mbwembwe kama hizi?embu acha mambo yako bwashee.
Nini kijiji,Lowassa alisepa na wanadaresalama wengi kuliko magufuli...Acha ufala,huoni Lissu anavyosepa na kijiji?
Atapigiwa kura lknWatu kumi ndio haijapata kutokea .wanamdhamini mtu asiyekuwepo wala hata rudi
Kwa taarifa yako tu......Ni halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake
Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?
Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri
Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Yule bwana akisikia Hilo jina ana haraEmbu jiulize hapo watu hawana uhakika anarudi au harudi na wamekusanyika kwa wingi hivo, na vitisho vyote vya vyombo vya dola. Sasa siku akitua airport hali itakuwaje???
Lowassa alikuwa agent wa CCM aliyetumwa upinzani ila Tundu Lissu ni Mpinzani aliye upinzani. Amini nakwambia TUNDU LISSU ndiye raisi October 2020Ni halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake
Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?
Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri
Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Mmoja bila kubebwa hawezi binafsiNi halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake
Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?
Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri
Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Mwana demokrasia makini kupata "kutokea duniani" amewashukuru wajumbe kwa "kumchagua" kupeperusha bendera kwenye uchaguzi mkuu. Pia amewashukuru wote "walio mpa challenge" wakati wa mchakato wa kumpata mgombea mmoja.Utapasua ile pacemaker
Tofautisha Lowasa cccm na TL mpinzaniNini kijiji,Lowassa alisepa na wanadaresalama wengi kuliko magufuli...
Ilimsaidia?!!!
Toka lini mmiliki wa chama akahitaji kupitishwa.Tofautisha kupitishwa na kujipitishaMwana demokrasia makini kupata "kutokea duniani" amewashukuru wajumbe kwa "kumchagua" kupeperusha bendera kwenye uchaguzi mkuu. Pia amewashukuru wote "walio mpa challenge" wakati wa mchakato wa kumpata mgombea mmoja.
View attachment 1502990
Sijakuelewa........Tofautisha Lowasa cccm na TL mpinzani
Lowassa alipata zaidi ya kura mil 10 , dhidi ya kura mil 3 unusu , kuwa makini sana unapoandika humu bwana mdogoNi halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake
Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?
Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri
Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Lowassa alipata zaidi ya kura mil 10 , dhidi ya kura mil 3 unusu , kuwa makini sana unapoandika humu bwana mdogo
angalia picha hii kwa makiniMil 10 za HACKING mtandao wa NEC eee?😂😂😂😂