Uchaguzi 2020 Misururu ya Wadhamini wa Tundu Lissu Tarime haijapata kutokea, huyu mtu ana nini lakini?

Uchaguzi 2020 Misururu ya Wadhamini wa Tundu Lissu Tarime haijapata kutokea, huyu mtu ana nini lakini?

H
Ni halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake

Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?

Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri

Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Hakika
 
Ni halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake

Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?

Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri

Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Kwa taarifa yako tu......

Hatukuchagua lowasa bali tulichagua chadema. CHADEMA ipo kwenye mioyo ya watz wkt ccm ipo kwenye mioyo ya polisi, msajili na tume ya uchaguzi na sasa takukuru .....
CHADEMA ilikua juu sn kabla ya Lowasa.....

Ndio maana kila mahali watz wanajiapiza kua hata mkiweka jiwe sisi tutachagua upinzani tu maana wamechoka na mfumo sio watu........

Ndio maana ccm na serikali hawataki uchaguzi ufanyike yaani wanavuruga....
Hawataki tume huru
Hawataki katiba ya wananchi ile ya warioba wao wanaleta mabadiliko ya katiba ili wavunje katiba wasishitakiwe......wanajiandaa kufanya Mambo machafu zaidi ya tuliyoyashuhudia ya kupigwa risasi kina Lissu
 
Ni halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake

Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?

Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri

Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Lowassa alikuwa agent wa CCM aliyetumwa upinzani ila Tundu Lissu ni Mpinzani aliye upinzani. Amini nakwambia TUNDU LISSU ndiye raisi October 2020
 
Ni halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake

Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?

Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri

Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Mmoja bila kubebwa hawezi binafsi
 
Utapasua ile pacemaker
Mwana demokrasia makini kupata "kutokea duniani" amewashukuru wajumbe kwa "kumchagua" kupeperusha bendera kwenye uchaguzi mkuu. Pia amewashukuru wote "walio mpa challenge" wakati wa mchakato wa kumpata mgombea mmoja.
Screenshot_20200710-175925.jpg
 
Ni halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake

Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?

Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri

Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Lowassa alipata zaidi ya kura mil 10 , dhidi ya kura mil 3 unusu , kuwa makini sana unapoandika humu bwana mdogo
 
Tafadhar usimfananisheLowasa na Lissu, hawa watu ni kama mbingu na ardhi, hivi unapata wapi ujasiri wa kumfananisha mtu aliyetetea watu maelfu walokuwa wamefungwa ama kufunguliwa kesi za ki impunity hadi wakawa Huru?

Serikali dhàlim ikamfungulia kesi kibao akashinda 7bu ya kipaji chake wàkaona haitoshi wakamtwanga risas wakakataa kumtibia wakaona bàdo wakamfuta ubunge.

Sasa wamebaki kumtishia asirudi! Sasa Lowasa kafanya lipi la kumfananisha na Lissu? Mtu asiyejua hata kugusana na polisi? Hebu sometyme Lumumba mtumie akili nyie siyo roboti
 
Jambo zuri sana, Swali jee hilo linakubalika na wenye chama, na tusisahau hao wanaopanga foleni, ni wagita, wakurya, ama wazanaki, hakuna wachaga huko, maombi yao hayana nguvu ndani ya chama.

Lakini Lissu anastahili kupewa fursa ya kugombea.
 
Back
Top Bottom