Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nina riplai usijekata tamaa tukamis poshti zako muruwa, TL ni hatari anavyokubalika ona haya ni mafuriko kuliko yale ya EL 2015. Pepo's power awamu hii hakuna kubadilisha gia angani? Kuna tetesi mahala yule mwanadiplomasia amempendeza sana mwenyekiti wa SACCOSSHali ndio kama mnavyoona ndugu zangu
View attachment 1502951View attachment 1502952
Sina cha kuongeza , wale mnaotaka nyama zaidi endeleeni kula mtori , nyama mtazikuta chini
Utafukuzwa kazi,kumbuka.Mbowe nae anaomba ridhaa,usijisahau hizo ni mbwembwe tu subiri maamuzi ya TengeruHali ndio kama mnavyoona ndugu zangu
View attachment 1502951View attachment 1502952
Sina cha kuongeza , wale mnaotaka nyama zaidi endeleeni kula mtori , nyama mtazikuta chini
Hesabu mayo shoes!?Watu kumi ndio haijapata kutokea .wanamdhamini mtu asiyekuwepo wala hata rudi
Halafu kuna Mwizi mmoja wa Ruzuku anasema kuwa yeye pekee ndiye anayeweza kuongoza Chama wengine wote ni Wasaliti.Jambo zuri sana, Swali jee hilo linakubalika na wenye chama, na tusisahau hao wanaopanga foleni, ni wagita, wakurya, ama wazanaki, hakuna wachaga huko, maombi yao hayana nguvu ndani ya chama.
Lakini Lissu anastahili kupewa fursa ya kugombea.
Waambieni wale marobot wanaobeba bunduki wasiingilie ili kieleweke . Oh nimekumbuka remote yao anayo nguli wa inteligensia by in aNi halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake
Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?
Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri
Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Mmeshikwa kende na mwaka tunazisaga muwe wagumba ili kizazi Cha mashetani kitoweke Tanzania. Shetani mkuu muuaji anayetumbukiza watu baharini atakufa kwa nguvu ya muumbaHalafu kuna Mwizi mmoja wa Ruzuku anasema kuwa yeye pekee ndiye anayeweza kuongoza Chama wengine wote ni Wasaliti.
Amekalia kiti cha Uenyekiti mpaka kiti kimepinda na kukaribia kuvunjika lakini hataki kuachia kiti.
Bwana yule ameharibu sana kung'ang'ania kiti.
Hakika Mbowe Angeng'atuka na kuwaachia watu wa makabila Mengine kama Chadema ingeaminika sana na wengi wangekimbila Chadema. Hata Wale waliokua ndani ya UKAWA walioondoka CUF wangekimbilia Chadema. Ubinafsi wa Mbowe umesababisha wale wote waliotoka CUF kushindwa kujiunga na Chadema kwa Hofu ya kubaguliwa kikabila.
Mbowe ameharibu sana Mwelekeo mzuri wa Makamanda wa Chadema kuachiana uongozi bila kujali kabila kama ilivyotoka kwa Mtei kuna kwa Bobu Makani japo Mtei alikua mwasisi aliyetumia nguvu zake na rasilimali zake kukijenga chama lakini hakuwa mbinafsi kama Mfanyabiashara ,Mhuni,Mlevi,Mzinzi, tapeli ,mzushi ,msanii ,mkabila,dikteta na mpenda sifa na dharau kwa makamanda wenzake ,yaani DJ Mbowe.
Lisu agombee kupitia Chadema mana anastahili lakini Afanye siasa za Kistarabu kama Lowasa mana watanzania hatutaki kujenga siasa za hovyo.
Tujenge taifa la kistaarabu na Demokrasia ya kweli mpaka wazungu waje wajifunze Afrika mana wazungu wameshaondoka kwenye Demokrasia safi wamebaki na kuchafuana na kukashifiana kama ilivyo kule Marekani.
Turithishe watoto wetu nidhamu na heshma kwa Taifa letu.
Dogo, hesabu huwa unapata ngapi huko darasani?!Watu kumi ndio haijapata kutokea .wanamdhamini mtu asiyekuwepo wala hata rudi