Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa nao bange tu!Hali ndio kama mnavyoona ndugu zangu
View attachment 1502951View attachment 1502952
Sina cha kuongeza , wale mnaotaka nyama zaidi endeleeni kula mtori , nyama mtazikuta chini
Watu kumi ndio haijapata kutokea .wanamdhamini mtu asiyekuwepo wala hata rudi
Sema roho inaumu!!Watu kumi ndio haijapata kutokea .wanamdhamini mtu asiyekuwepo wala hata rudi
mkuu pole sana kwa kutimuliwa U DASHawa nao bange tu!
Mimi nahusikaje na waraka wa Shura ya Maimamu ?
Kumbe ndio huyu? Bado hajapangiwa hiyo kazi nyingine na nje ya Kisarawe? Hahahamkuu pole sana kwa kutimuliwa U DAS
Chadema imeshakufa. Hao ni mazombi sio wanachama. Kwanza hawapigi kura.😁😁Hali ndio kama mnavyoona ndugu zangu
View attachment 1502951View attachment 1502952
Sina cha kuongeza , wale mnaotaka nyama zaidi endeleeni kula mtori , nyama mtazikuta chini
Huo ndio ukweli.Picha kama hiyo mimi naisoma hivi:
Naona waTanzania watulivu kabisa wanaotafuta haki yao ya msingi ya kuwachagua viongozi wao wanaopenda wawaongoze miaka mitano.
Watu hawa watakwenda kupiga kura kutimiza adhma yao hiyo, kwa utulivu bili ya rabsha zozote.
Halafu baada ya hapo, kura hizo kundi la watu wanaamua hazina thamani yoyote, na wala hazihesabiki katika kumpata kiongozi atakayetangazwa.
Ninaishia hapo katika mtiririko huo wa mawazo yangu.
Hapana. Kabla hujanirukia kwa jazba, sijaandika kwamba waTanzania wengine wapo kwenye mistari mingine, nao wametulia kama hawa. Wao pia wanastahiri heshima yao na kama ndio watakuwa wengi kwa kura zao za haki, basi wana haki ya kupata mtu wanayemtaka, nasi sote ambao hatukumpa kura zetu tutaheshimu maamuzi hayo bila ya shari kama ni matokeo ya haki.
Yaani hata hajafika watu wamrjaa hivyo. Hahaa magu katafute kazi nyingine. Huyu ni Lissu The Akili Kubwa.Nadhani kwa wale ambao hamkunielewa,sasa mtaanza kunielewa hapa:
Ujio wa Lissu usiingiliwe, vinginevyo unaweza sababisha kutokea kwa stampede
Jipe moyo sema Magufuli bila policcm na vile vyombo vingine hata kura ya mkewe hawezi pata.Ni halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake
Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?
Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri
Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Na ndipo alipofeli huyu jamaa wa awamu ya tano. Bado haamini anachokiona akifikiri jinsi alivyo tumia nguvu nyeusi( devil forces) kukandamiza upinzani anashindwa kuelewa hawa wapinzani wana roho gani. He will die in his guiltness.Upinzani hauwezi kufa kwa bunduki au kukamata viongoz wao, upinzani ni siasa Safi inayojibu matamanio ya wananchi pasipo vitisho,visasi wala matusi na fitina mbalimbali. Kweny siasa Chama tawala ni Chama pinzani dhidi ya Chama pinzani and vice versa!!Hawa wote ili wawini kukubalika wanahitaji siasa Safi na uongozi bora!
Kama kuna Chama kinadhani kitapata wafuasi ama kitaongeza wafuasi Bila siasa Safi kisahau iko siku kitakufa kifo cha mbwa!
Tunahtaji siasa itakayojali utu wetu na haki zetu na si kutupa haki yetu huku utu wetu ukifichwa kwenye viloba hapana!!
Mungu bariki Tanzania mpya itakayojali utu na zetu!!
Ni halali kabisa, Tundu ni mwanasiasa mwenye ushawishi mzuri sema mshindani wake Kutokea CCm yeye ni mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mara 10 zaidi yake
Tundu atashindanaaa!! Lakini hatoshinda, ni Nani Kati ya Lowasa na huyo Lisu ayekuwa ni mwanasiasa mwenye ushawishi zaidi ya mwingine?
Lakini lowasa licha ya kuwa ni mwanasiasa nguli Kwa Magufuli alisalimu amri
Kwa sasa, Tz hii hakuna kama Magufuli
Nakuona wakala wa shetani ukifanya kazi yako bila mafanikio.Mauwaji yataweza kutokea endapo atatangazwa ambaye hakuchaguliwa. Naiona Tanzania mpya, baada ya kumwaga damu. Damu lazima imwagike ndipo ukombozi upatikane. Watu wanaoilinda ccm watakuwa wanaenda kuiba kura huku familia zao zilizopo sehemu mbalimbali kwenye vinyumba vya bati zikichomwa moto. Nawaona watanzania uvumilivu ukiwashinda hasa kutokana na ukosefu wa ajira bila sababu.
Ukimwaga mboga nasi tunamwaga ugali.Dogo una uhakika, lowasa Alishindwa?
Unajua Mke wa raisi mstaafu alimchana jiwe alipo zuia mzigo ya NGO yake pale bandarini akamwambia wewe hukushinda tulikubeba tu. Leo unakuwa jeuri,
Kilichoendelea ni #$@&?::&+*/,,timbwili tukashtukia anateuliwa kuwa mbunge
Kumbe yule Mama ni jasili namna hii.Dogo una uhakika, lowasa Alishindwa?
Unajua Mke wa raisi mstaafu alimchana jiwe alipo zuia mzigo ya NGO yake pale bandarini akamwambia wewe hukushinda tulikubeba tu. Leo unakuwa jeuri,
Kilichoendelea ni #$@&?::&+*/,,timbwili tukashtukia anateuliwa kuwa mbunge
Wamekusanywa kutoka Unguja na Pemba,Naona kuna mabasi kule pembeni sijui wamekusanywa kutoka wapi.
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app