Mwana kinyonga
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 377
- 224
Hii system niliikuta Mbeya, Mwanjelwa na Soweto.Katibu mkuu Wizara ya Maji mhandisi Antony Sanga amesema utofauti wa mita hizo na mita zingine ni kuwa unaweza ukamgawia jirani uniti za maji kama unavyohamisha salio kwenye simu na akaendelea kupata huduma, vilevile kama unahama nyumba uliyokua ukiishi na kuna uniti zako zimebaki kwenye mita unaweza ukahama nazo pia. KONGOLE SANA
Kumbe tayari imeshaanzaHii system niliikuta Mbeya, Mwanjelwa na Soweto.View attachment 1807838
wapuuzi kweli........wale wasoma mita wanakuwaga na stress kibao za maisha....Hivi wanavyotoa bill kubwa wakati hawanufaiki na chochote inawasaidia nini?
Wataelekea walipoelekea cashier baada ya control number.Wasoma Mita waliopo kazini kwa Sasa wataekekea wapi?
kusoma mita ni kazi ya kikoloni ktk zama hizi za kidigitali.Wasoma Mita waliopo kazini kwa Sasa wataekekea wapi?
Extrovert mzee wa kicheko, nakupa angalizo yasije kutokea yale ya tanesco mfumo uka buma siku iyo hamtakoga😅😅😅😅Hili ndilo litakuwa mwarobaini wa tatizo la kubambikiana Bills! Unatumia maji ya 3000 unapewa bill ya 12000.
Hii mbona system ya kitambo tu,itakuwa baadhi ya mikoa ndo kinaonekana kitu kigeni kwaoHii system niliikuta Mbeya, Mwanjelwa na Soweto.View attachment 1807838
Tech inaondoa watu kazini. Labda wapewe KAZI za upelelezi kuwachunguza wanaojiunganishia majiItapunguza gharama za uendeshaji.Ajira kwa wasoma mita nayo inaishia hapo
Kivip,wale wa kushea mita moja weng je,wahama nayo vpKatibu mkuu Wizara ya Maji mhandisi Antony Sanga amesema utofauti wa mita hizo na mita zingine ni kuwa unaweza ukamgawia jirani uniti za maji kama unavyohamisha salio kwenye simu na akaendelea kupata huduma, vilevile kama unahama nyumba uliyokua ukiishi na kuna uniti zako zimebaki kwenye mita unaweza ukahama nazo pia. KONGOLE SANA
Wanadai imefungwa zaid ya mwaka, units wananunua kwenye ofisi za maji. Sehemu nyingine wanatumia Mira za kawaida. Niliuliza wanadai ilikua no pilot study maana ufungaji haukuendelea.
Safi sana! Yahooooo! Nipo Arusha, kilio changu siku zote ni ubambikiwaji wa bill! Familia yangu ni ta watu wanne (mimi, mke wangu, Mjukuu na binti wa kazi), bili inakuja Tsh. 89,500 kwa mwezi! Utadhani nina kiwanda. Cha kusikitisha huduma yao kwa mteja ni ya hovyo sijapata ona nchi hii. Ukienda lalamika wana printi bili za nyuma a kisha kukutumia SMS za vitisho kwenye simu. Hawataki kujua chanzo cha tatizo ni nini! Sasa nimeamua siwalipi waje wachukue mita yao!
Serikali kupitia Wizara ya Maji kuanzia mwezi Julai inatarajia kuanza kufunga mita za maji za malipo ya kabla[PRE PAID WATER METERS] ambazo zitakuwa na mfumo wa King’amuzi unaweza ukanunua ukiwa sehemu yoyote duniani
Katibu mkuu Wizara ya Maji mhandisi Antony Sanga amesema utofauti wa mita hizo na mita zingine ni kuwa unaweza ukamgawia jirani uniti za maji kama unavyohamisha salio kwenye simu na akaendelea kupata huduma, vilevile kama unahama nyumba uliyokua ukiishi na kuna uniti zako zimebaki kwenye mita unaweza ukahama nazo pia.
Da asavali zile bili za kutubambikia ndio zitakuwa mwisho wake na wenzangu mimi wale vishoka wa kuchezea na kurekebisha mita ili apate chochote hatima yao ndio imefikia ukingoni,sijui walioajiriwa kazi ya kusoma mita watafanya kazi gani sasa kwa maana walikuwa wanakaa tuvijiweni wakituandikia bili za uongo na hata walikuwa hawasomi mita.
Serikali kupitia Wizara ya Maji kuanzia mwezi Julai inatarajia kuanza kufunga mita za maji za malipo ya kabla[PRE PAID WATER METERS] ambazo zitakuwa na mfumo wa King’amuzi unaweza ukanunua ukiwa sehemu yoyote duniani
Katibu mkuu Wizara ya Maji mhandisi Antony Sanga amesema utofauti wa mita hizo na mita zingine ni kuwa unaweza ukamgawia jirani uniti za maji kama unavyohamisha salio kwenye simu na akaendelea kupata huduma, vilevile kama unahama nyumba uliyokua ukiishi na kuna uniti zako zimebaki kwenye mita unaweza ukahama nazo pia.
Ukiwa na choo cha ndani ni muhimu uwe na tanki bwashee la sivyo utahama nyumba yako mwenyewe.Siku network ikigoma ndio wenye vyoo vya ndani mtazungumza