Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Kama una eneo kubwa basi haujalitumia kikamili kwa matumizi kama hayo. Waite watu wakupe plan.Nina eneo kubwa bro! Zaidi 1200sqm na mita 20 kutoka nyumba yangu nina pub! Naongelea kwa waliowengi na changamoto nilizopitia nyuma kulazimika kujijengea kapub ka kukutana na watu!
Hata public libraries ni vizuri pia ziongezweHujamuelewa jamaa, hamna asieipenda familia ila pamoja na kua baba wewe pia ni binadamu.
Kuna muda unahitaji kukaa utafakari ya hiyohiyo familia, ufanye mambo yako private.
Bodaboda wakupapue[emoji23][emoji23]Hii kitu nilikua naongea na mtu Jana, Yani hata mazoezi vitu ambavyo ni vya muhimu serikali ilishashindwa kutenga maeneo, ukitaka kufanya jogging labda ufanyie barabarani bodaboda wakupapue
Hizo nazo ni tabu tupu, kwanza hazipo sijui unaongea niniHata public libraries ni vizuri pia ziongezwe
Hiyo sio solutionKwa hiyo kila wakati ukitaka kutafakari utakuwa unaenda central park?
Jitahidi mnunue maeneo makubwa ndani ya backyard unaweza kuplan maeneo kama hayo ya kupumzika na kutafakari (backyard rest area)
Wakati fulani unaweka BBQ grill yako na vinywaji ukawa unafanya tafrija na familia au ndugu, jamaa na marafiki
Hiyo sio solutionKwa hiyo kila wakati ukitaka kutafakari utakuwa unaenda central park?
Jitahidi mnunue maeneo makubwa ndani ya backyard unaweza kuplan maeneo kama hayo ya kupumzika na kutafakari (backyard rest area)
Wakati fulani unaweka BBQ grill yako na vinywaji ukawa unafanya tafrija na familia au ndugu, jamaa na marafiki
Akikufata na huko ondoka rudi kijijini kwenu 🤣Umeongea kitu cha maana kabisa.
Mm nimepanga single self. Nawaza hivi nikioa na niko humu. Siku nimegombana na Wife. Tunakaaje, maana haiwezekani mtu kakukera na kila ukigeuka unamuona [emoji16]
Space ni kitu cha muhimu sna kwangu. Nitaoa siku uchumi ukiruhusu kupanga nyumba nzima. Ili tukikosana. Akija chumbani naenda sebuleni, akija sebuleni naenda chumbani nafunga mlango [emoji16]
Wee hujaelewa mada! Soma vizuri utajua nilichomaanisha!Watu tunajitahidi tupate muda tutulie na familia wewe unaikimbia
Jitafakaroli sana na ubadirikae
Furahia nao sasa hivi wakati Upo na AFYA NGUVU na Uwezo wa kutafuta pesa lakini kubwa zaidi wakati Upo na uhai
Kuna moment katika maisha haziwezi kurudi tena
Jitahidi sana kufurahia MAISHA na watoto wako pamoja
Vile utakavyokuwa nao ndivyo nawe baadae watakuwa na wewe
Mkuu YOU ONLY LIVE TWICE so ENJOY EVERY MOMENT YOU HAVE waache watoto wafurahi na wewe wakati upo hai na afya
Kama unajisikia kutoka na kupumzika toka na familia
Mimi sikatai kwenda central park au poriniHiyo sio solution
Hiyo sio solution
Sometimes kunaboa ....watu wanaviwanja vikubwa kama Mkapa ila bado wanatamani kwenda porini kutuliza akili...Dolly ESTATE..Burka A Town viwanja vikubwa garden nzuri utulivu wa kutosha ila una vunja zizi unakwenda Makuyuni au Kisongo kutuliza akili
Open space ni muhimu sana ....Nairobi Uhuru park utulivuuu wa nguvu ....huku Wajinga na Wabinafsi yamekomba ardhi yote....Dar zamani raha sana Kurasini ilikuwa paradise
Hata Magomeni hapo ilikuwepo bustani maridadi sana ya kupumzikia siku hizi imekufa. Bongo tupo hovyo sanaDar zamani raha sana Kurasini ilikuwa paradise
Kuna ma genous walikaa wakaona pale panafaa kuwa ofisi za DMDPHata Magomeni hapo ilikuwepo bustani maridadi sana ya kypumzikia siku hizi imekufa. Bongo tupo hovyo sana
Nyumbani kwangu kunakitu na mandhari nzuri.Nimekaa mitaa mingi maeneo ya kipato cha kati na cha juu hata kufikia kupata kwangu. Changamoto nyingi niliyokumbana nayo ni wakati unatafuta sehemu ukakae peke yako ukatafakari hili na lile. Nyumbani wakati fulani panakuwa na miingiliano mingi ya wife, watoto, jamaa na marafiki au wewe kama baba wakati mwingine unawaachi space wajibinafasi (si unajua dingi akiwepo panakuwa na nidhamu ya woga).
Sasa Bwana nimekuja kuona wengi uishia Bar. Tatizo la Bar lazima uwe na hela ya kukalia siti ya eneo la biashara, hiki ni kipengere wakati mwingine hauko vizuri. Sehemu nyingine ni viwanja vya mipira ambapo hujaa wahuni na teenagers wanaoishi maisha yao panakuwa hapakufai.
Sehemu nyingine zinakuwa mbali na nyumbani ambapo utalazimika kutumia usafiri! Sasa kwa changamoto hii wanajamvi huwa mnafanyaje? Nadhani stress nyingi na maugonvi usababishwa na mtu kukosa mahali pa kupumua! Kwangu anagalau nina "Pub" ambayo sikosi mtu mpya wa kuchill naye kwa kupiga story nikiwa nimeboreka! Wewe huwa unafanyaje?
Njoo Olmotonyi kuna kilima cha nyasi kizuri sana una vuta bomba la mpapai ukitazama juu na Sunset ya oldonyolengaiDuluti na soko la ndizi ndio maeneo yangu yakupumzika na kuvuta msuba