Mitambo ya Bwawa la Mtera yapata hitilafu, mikoa 14 kukosa umeme

Mwaka wa saba sasa pale hapajawahi funguliwa maji yatiririke kuzalisha umeme.(au nasema uongo ndugu zangu wa mtera)
Sasa hiyo hitilafu ni ya miaka saba iliyopita ndo inaeipotiwa leo?
 
Hapo kwenye neno “.....muda usiojulikana ni hatari sana kwa afya na usalama wa jamii”...daah....kuna watu maisha yao bila umeme wa uhakika yapo hatarini.
 
Kipara kaenda kuliua hili shirika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…