Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.
HAWAJATAKA KUUKATA TU. Yote kwasababu na wao wana imani za kishirikina wanauogopa. Utakatwa tu. Siku hizi sio kila mtu mjinga.
Sasa hii ni mila au ushirikina???Huko Shinyanga Kuna kajumba ka bibi fulani, kila wakikiondoa kesho yake kipo vilevile. Wakaachana na kijumba na kupindisha barabara. Hayo ni mambo yetu ya Afrika, tulidharau mila zetu na kukumbatia utamaduni wa kizungu.
Mkuu acha basi ule mbuyu pale St .Gasper nao una mambo?Dodoma Mjini kabisa karibia na St Gasper Hotel kuna mbuyu upo pembeni kabisa ya rami, barabara ya rami imepita pembeni yake kabisa. Umeshindikana mpaka leo. Aise dunia ina mambo.
Kumbuka ule mti ulikatwa kule Tabora asubuhi wakaukuta umesimama tena, wanume wakachukua magome yake wakaenda chemsha wakanywa wakawa na nguvu za kupitiza. Hahahaha!
Sio huyu mwambaMenejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali...
Sehemu gani paleUkiona mtu haamini haya mambo bado mtoto mdogo. Kariakoo maeneo ya kamata, shirika la reli liliamishia kituo cha train kwamuda, eneo lile palikuwa na makaburi sasachaajabu makaburi yote wameyafukua lakn lipo moja lilishindikana had leo lipo anaebisha aende akaangalie. Hilo ni kaburi la chifu Kibasila.
Ushawahi kiuliza kwann hawajautoa kama upo karibu na barabara?Mkuu acha basi ule mbuyu pale St .Gasper nao una mambo?
Huyo alishinda kudondosha nyumba ya matope tu.Sio huyu mwamba
View attachment 1979104
[emoji28][emoji28]Korona imeangusha mti mkubwa tena wale wanaopata chanjo 1st grade na mbolea juu, dah korona manyoko
Hiyo ni mbinu ya ki propoganda ili uma ujue kuna barabara iko kwenye ujenzi hukiMenejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.
Hata Namanga Mbuyuni ule mbuyu uko katikati ya barabara walishindwa kuutoaDodoma Mjini kabisa karibia na St Gasper Hotel kuna mbuyu upo pembeni kabisa ya rami, barabara ya rami imepita pembeni yake kabisa. Umeshindikana mpaka leo. Aise dunia ina mambo.
Kumbuka ule mti ulikatwa kule Tabora asubuhi wakaukuta umesimama tena, wanume wakachukua magome yake wakaenda chemsha wakanywa wakawa na nguvu za kupitiza. Hahahaha!
Mwenzi Mungu aliumba viumbe vinavyoonekana kama sie,mbuzi,sokwe na viumbe visivyoonekana,maandiko matakatifu yameelezea hiliWhat are those other types ?
This cant be! Hiyo mitambo ni mitambo inashindwa kuundoa mti?Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa ya Nyerere katika mikoa ya Morogoro na Pwani imelazimika kuuhifadhi mti wa asili jamii ya Marula uliokuwa ukitumiwa na watu mbalimbali wa zamani kufanya matambiko ya asili kuwa kama sehemu ya kivutio ndani ya hifadhi hiyo baada ya kushindwa kukatika kwa zana na mitambo mbalimbali ya kisasa ili upishe upanuzi na matengenezo ya barabara kuu inayokatiza hifadhini hapo.
Unkuju(utukuju)Ukitoka Pasiansi-Mwanza kama unaenda Airport mitaa ya (Iloganzala) kuna mti ulikuwa unakatwa kwa upanuzi wa barabara, mti ulikuwa unalia na kutoa damu,
Duniani kuna mambo ....
Tukuyu-Mbeya, bibi alikuwa anatuambia kuna miti huwa inasafiri usiku, basi kulikuwa na uwanja mkubwa alafu kulikuwa na mti mkubwa unaambiwa nyakati zingine usiku ulikuwa ukienda uwanjani hapo unakuta mti umesafiri (haupo eneo lile),ukienda tena asubuhi unaukuta
Duniani kuna mambo ....
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwe mjinga, kuna miti inatoa utomvu mwekundu.Miti ina mambo mengi bana kilimanjaro kule wakati wanajenga barabara ya lami Rombo miti ilikua inatoa damu ikikatwa,